Usimuwazie mabaya mkeo bhana hiyo hali ni ya kawaida kabisa kutokana na hili Joto la hapa Dar!Kitaalam kitu chochote kikipata joto kinatanuka hivyo hata 0713 ya mkeo imetanuka sababu ya hili joto!na kujamba kunasababishwa na gas kujaa tumbon sababu ya kula vyakula vyenye gas kwa wingi,kwa ushauri kitaalam unashauriwa uendelee tu kutumia hiyo Kabang ili joto likipungua pasije pakaziba!!