Nahisi mke wangu anachepukaa! Jamani... ushauriii

Umeanzisha ugomvi wa mawe wakati unaishi nyumba ya vioo.
Hapo kila mtu akomae na mchepuko wake maana umeyataka mwenyewe.
 
ni kosa la JINAI kumwonyesha mwanamke wako DHARAU kwakuwa una hawara nje unayempenda kuliko yeye. siku akilipa kisasi utalia na kusaga meno. unamkumbuka yule rubani aliyeangusha ndege! kisa girlfriend wake alicheat na masela zake wa4.
 
“gari ni yangu, huwezi kunipangia."

Kwa haya majibu kwa mke, lazima Aliwe, wanawake ni wapuuzi, akiwa mzuri kaa naye kwa akili; Kama gari ni yako na huwezi mpangia, Mwili wake unampangiaje?
 
Unajichuaje wkt unamchepuko au nao ushalala mbele, au unapenda kuwa shabiki wa nondo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…