tatizo watanzania huwaga tunajua kupima ukimwi na malaria tu, tukijitahidi sana ni typhoid, kuna magonjwa mengi sana ndugu yangu ambayo dalili hufanana, ila kikubwa na cha msingi ni kufanya vipimo vikubwa..i once had a urination problem nikafikiri ni kisukari..kwenda kupima magonjwa yote nikakuta ni UTI lakini dalili zoote zilionesha kama kisukari vile, tuache utamaduni wa zamani wa kuhisi mambo na kwenda hospitali kupata tiba sahihi..