asante sana kwa kutupia jicho post hii, wakati watu wote macho yako kwenye siasa,
familia yangu ina watu watano. baba na mama ndio tumeajiriwa, na tunachangia hizo ppf, nssf, AAR, Medex, na zote zina bima ya afya, uzazi, kifo nk.
tukiwaona HR hatutasababisha matazizo manake HR wengine, huwa wanaona shida kufanya kazi nje ya mstari. (out of the box)