Nahisi naonekana kama mwizi

benteke

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
1,305
Reaction score
1,068
Wazima wandugu, hili tatizo ni mimi tu au kuna mwingine linamtokea. Nikienda kwa vibanda vya mpesa mara nyingi wanataka Waone SMS iliyorudi kwangu ndio wanipatie pesa.

Nikienda office za watu utaona mdada anahamisha pochi yake na simu, Bank teller anachukua muda mwingi kunihudumia.. saa nyingine anaenda kupata ushauri kwa mwenzake au manager.

Hii hali inanifedhehesha sana.
 
Na mie huwa najiuliza kwanini nafanyiwa hivi sijui wanatuonaje mkuu wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…