Nahisi nilivyosafiri, wife alichepuka

HISIA ZAKO NI ZA KWELI ,KATIWA.

mwanamke asipogongwa kuanzia wiki mbili tu, K hujirudi na kubana
 
Hahaha
 
Ungepima kote kote usikute mjuba kasafisha na mtaro kabisa wahuni siyo watu wazuri.
 

Jamaa utakufa siku sio zako. Kitu anayembea nacho yeye, wewe unajipa stress wakati unajuafika haupo.
 

Mkuu wewe mbona unachapa chapa kila sehemu imefika mahali huna adabu unachapa hadi umezalisha mwanamke alietembea na baba yako mdogo. Mkeo kasema na bado utaletewa mtoto ndoani.
 
Ndo uliatoka kwenye interview ya accounting officer? Hongera na pole ikawe khery!
 
Ila mkuu mkienda kwenye hizi safari za kikazi na seminar huwa mnabinjuka sana kingozi,
Pole sana, hapo ndio kipimo cha kupima busara zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…