Mbarikiwa0890
Member
- Jan 29, 2014
- 14
- 10
- Thread starter
-
- #41
We muoga sana wa kufa...Kufa utakufa tu utake usitake....Ukiishi maisha ishi to the fullest with no worries...sio unakosa furaha kisa unafikiri kama una maambukizo....kila moja humu, kapime kapime. Mnaona kitu kirahisi sana. Raha ya ukimwi upime tahari upo mahututi unaharisha kama ngisi unakuwa tahari umejikubali kabla ya vipimo. Hivi hivi afya swaffii thubutu, nyinyi muinjoy maisha mimi nife kwa mawazo
Kapime ufe kwa presha shauri yako!