Nahisi nimekua addicted na huu mchezo wakuu

Nahisi nimekua addicted na huu mchezo wakuu

EmmilyPM

Member
Joined
Nov 14, 2018
Posts
56
Reaction score
65
Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."

Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.

Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.

Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
 
Tuma kisim tochi ili ucweze kupata soft Ware,na kingne Fanya kuwaamini wapenzi wako,sim ulwachangua au ulmchangua mwnywe hvo muamini ,achana na hzo tracking software (code) zitakufksha pabaya.zitumie badaye ktk shughri za uzalshaji I:e dukani au mfanyakaz wako ofc na sio make au mpenz, don't dare!!!
 
Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."

Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.

Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.

Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Wasiliana na wazir Gwajima atakupa ufumbuz wa tatizo lako
 
Habari za majukumu wakuu, mimi ni kijana wa miaka 29. Nina shida moja ambayo nahisi imekuwa kama "addiction."

Nimejipata nikiwa na tabia ya kufuatilia (track) simu za kila mpenzi ninayeingia naye kwenye mahusiano, iwe nina mipango ya baadaye naye au hata kama ni uhusiano wa muda mfupi. Ilimradi tu tunakuwa na uhusiano wa kimapenzi, lazima nifuatilie mawasiliano yake. Pia, sijawahi kuwa na mahusiano mafupi; karibu mahusiano yangu yote nimekuwa nikifanya hivi.

Hua nahisi kama nafurahia kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wangu, ingawa tangu nianze kufanya hivi ni mara moja tu, mwaka 2020, nilipokutana na ujumbe uliothibitisha kuwa mpenzi wangu alikuwa amenisaliti. Wapenzi wengine wote, pamoja na huyu niliye naye sasa, sijawahi kuona dalili yoyote ya usaliti.

Natamani niache hii tabia, lakini nahisi nashindwa. Najikuta natoa "tracker," lakini baada ya muda mfupi nairudisha tena. Nahitaji ushauri wenu juu ya hili. Nitashukuru sana.
Kumbe na wewe poa msaliti
 
Tuma kisim tochi ili ucweze kupata soft Ware,na kingne Fanya kuwaamini wapenzi wako,sim ulwachangua au ulmchangua mwnywe hvo muamini ,achana na hzo tracking software (code) zitakufksha pabaya.zitumie badaye ktk shughri za uzalshaji I:e dukani au mfanyakaz wako ofc na sio make au mpenz, don't dare!!!
nashukuru kwa ushauri huu mzuri...
 
Tuma kisim tochi ili ucweze kupata soft Ware,na kingne Fanya kuwaamini wapenzi wako,sim ulwachangua au ulmchangua mwnywe hvo muamini ,achana na hzo tracking software (code) zitakufksha pabaya.zitumie badaye ktk shughri za uzalshaji I:e dukani au mfanyakaz wako ofc na sio make au mpenz, don't dare!!!
Ukitumia kitochi huwezi kuwa tracked?
 
Back
Top Bottom