Nahisi nimekula nyama ya punda

Nahisi nimekula nyama ya punda

Mfarisayomtata

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
474
Reaction score
188
Wakuu mimi nimekula nyama sehemu flani hapa dodoma lakini nimebaki siielewi. Nyama haina utamu, ngumu, afu kubwa mnoo kwa bei ndogo, huku dodoma naskia paja la nyama ya punda ni sh. 7000 sasa mnao kuja huku muwe makini.
 
Daah unanikbusha wakat nasoma sekondari singida, siku ya nyama, tulikuwa tuonaogopa kisa kulishwa punda
 
Kwa Dodoma nyama hiyo ni kama ya kawaida tuu, na serikali haijataka kuhakiki. Ukienda buchani kuna maini mengi kuliko nyama na pale independent square panauzwa utumbo mwingi kuliko idadi ya ng'ombe waliochinjwa. Karibu mkuu, sisi wagogo tumeshazoea.
 
Hahahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Usiogope Nyama ni Nyama, punda ni jina tu mkuu
 
Nasikia nyama ya punda inaponya magonjwa kadha wa kadha.! But sujapata clues za kutosha kutoka kwa wenzetu wa "CHINESSE"
 
Wakuu mimi nimekula nyama sehemu flani hapa dodoma lakini nimebaki siielewi. Nyama haina utamu, ngumu, afu kubwa mnoo kwa bei ndogo, huku dodoma naskia paja la nyama ya punda ni sh. 7000 sasa mnao kuja huku muwe makini.
Singida, hasa Wanyiramba ndio wanapenda kula huyo mnyama, kiasi kwamba ilifikia mahali halmashauri zikatunga sheria ndogo za kuzuia kula nyama ya punda kwa kuwa ni mnyama kazi
 
Back
Top Bottom