Nahisi nimepigwa kwenye hizi spare nilizoandikiwa

Nahisi nimepigwa kwenye hizi spare nilizoandikiwa

INSIDER MAN

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2018
Posts
2,005
Reaction score
19,579
Wakuu habari ya mwaka mpya.

Ndugu zangu wa hili jukwaa pendwa naomba msaada wenu kuna garage hipo hapa Mbezi Beach karibu na Juliana huku chini Africana. Nilipeleka gari kwaajili ya service za miguu baada ya kusikia kama inalalalama sana hasa kwenye matuta na mashimo aina ya gari ni toyota ist.

Nilivofika pale nikawambia wacheki tairi zote ili kama kuna spare zibadilishwe sasa huu ndo mrejesho wa spare walizosema zibadili ila nimeshtuka kuona gharama sana hasa kwa Toyota IST.

Ndugu zangu nimeambatanisha hii list mjionee hawa jamaa kama wapigaji hivi garage imekaa kimchongo sana. Nilikwemda garage nyingine jamaa akasema vya kubadili ni vichache tu na sio vyote na cost ikaja kama 420k hvi

IMG_9747.jpg
 
Kama unayo ela nunua vyote , hakikisha vinafungwa na walivyotoa weka kwenye buti vitakufaa siku nyingne


Inawezekan wao wameona hvyo ubadili kwakuw vinaelekea kuchoka au n mchongoo tuu.


Kuna garage zngne utaend kila siku kwakuw hawakagui gari vzr so leo unatoa hiki kesho linazngua unabadl tena kifaa kingn

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Kama unayo ela nunua vyote , hakikisha vinafungwa na walivyotoa weka kwenye buti vitakufaa siku nyingne


Inawezekan wao wameona hvyo ubadili kwakuw vinaelekea kuchoka au n mchongoo tuu.


Kuna garage zngne utaend kila siku kwakuw hawakagui gari vzr so leo unatoa hiki kesho linazngua unabadl tena kifaa kingn

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app

Ahsante kaka
 
Yaani hao ni wapigaji tu...
Na ukikaa nao vibaya watakupiga sana...
Fundi makini angekagua gari mpaka akutane na kifaa kibovu...

Hao mafundi wapumbavu kabisa[emoji35][emoji35]..ni wavivu wa kutafuta ugonjwa ulipo...wao wanarahisisha wanataka wafanye replacement ya vifaa vyote maana wanajua miongoni mwa hivyo, kimojawapo au viwili ndiyo vibovu......fundi makini angeendesha gari na angejua ugonjwa uko wapi....Pumbavu sana..[emoji35][emoji35]

Sasa kwa mfano, brake shoes zina uhusiano gani na gari kupiga kelele kwenye njia mbovu..?

wahuni hao..
Nakushauri tafuta mafundi wanaoleweka

Na kifaa chochote utakachotoa kwenye gari lako, usikiache garage....kuna vifaa vingi tu mafundi wanabadilisha vikiwa bado ni vizima kabisa...
 
Vifaa vinatibu tatizo hilo,
Ila ningeshauri upite garage nyingine kwanza kujua bei ya vifaa husika na ufundi
 
Yaani hao ni wapigaji tu...
Na ukikaa nao vibaya watakupiga sana...
Fundi makini angekagua gari mpaka akutane na kifaa kibovu...

Hao mafundi wapumbavu kabisa[emoji35][emoji35]..ni wavivu wa kutafuta ugonjwa ulipo...wao wanarahisisha wanataka wafanye replacement ya vifaa vyote maana wanajua miongoni mwa hivyo, kimojawapo au viwili ndiyo vibovu......fundi makini angeendesha gari na angejua ugonjwa uko wapi....Pumbavu sana..[emoji35][emoji35]

Sasa kwa mfano, brake shoes zina uhusiano gani na gari kupiga kelele kwenye njia mbovu..?

wahuni hao..
Nakushauri tafuta mafundi wanaoleweka

Na kifaa chochote utakachotoa kwenye gari lako, usikiache garage....kuna vifaa vingi tu mafundi wanabadilisha vikiwa bado ni vizima kabisa...

Ahsante kwa elim mkuu
 
Mpaka hapo hiyo gari unatengeneza kwq 1.2ml ukiweka na loubor charger ya fundi.

Pole mkuu.

Gari ni mpya tu. Nilikwenda garage nyingine fundi aliendesha kuitest akafungua miguu yote akasema vya kubadili sio vyote ni baadhi na cost haitazidi 500k
 
Yaani hao ni wapigaji tu...
Na ukikaa nao vibaya watakupiga sana...
Fundi makini angekagua gari mpaka akutane na kifaa kibovu...

Hao mafundi wapumbavu kabisa[emoji35][emoji35]..ni wavivu wa kutafuta ugonjwa ulipo...wao wanarahisisha wanataka wafanye replacement ya vifaa vyote maana wanajua miongoni mwa hivyo, kimojawapo au viwili ndiyo vibovu......fundi makini angeendesha gari na angejua ugonjwa uko wapi....Pumbavu sana..[emoji35][emoji35]

Sasa kwa mfano, brake shoes zina uhusiano gani na gari kupiga kelele kwenye njia mbovu..?

wahuni hao..
Nakushauri tafuta mafundi wanaoleweka

Na kifaa chochote utakachotoa kwenye gari lako, usikiache garage....kuna vifaa vingi tu mafundi wanabadilisha vikiwa bado ni vizima kabisa...
Nimedata kukuta Coil spring zote nne inabidi zibadilishwe. Seriously?
 
Wakuu habari ya mwaka mpya......
Tatizo ni wewe, mkuu kuna mahala unaleta utani, unapelekaje gereji ambayo fundi anaandika "Leak End" break shoo, hapa natafuta hiyo disc surface ndo kanivuruga kabisa huyo mwamba!🥲😇😱
Mzeee hii gari inatembea kweli?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣 We una akili sanaaaaaa!
 
Mambo mengine ni vituko sana!Kwa nini uende garage uwapangie kuwa wabadili spare?Unavyoenda garage si unatakiwa uwaambie kuwa watafute tatizo kisha wakupe mrejesho ni tatizo gani?
 
Mwisho wa siku hiyo gari, wantatowa vizima wakapachika vibovu na kupachika vibaya, kama hawajafunguwa hama hiyo gereji!
 
Mambo mengine ni vituko sana!Kwa nini uende garage uwapangie kuwa wabadili spare?Unavyoenda garage si unatakiwa uwaambie kuwa watafute tatizo kisha wakupe mrejesho ni tatizo gani?
Soma umuelewe jamaa alipeleka kwa nia njema kabisa! Sasa yamemkuta mpe moyo mwaka mpya huu tuanze salama, au we mgogo?🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom