Mkuu.kunavitqmini wanatoa zinazink Inaitwa crotene hizi mkiweza.nunua wapeni familia zinawakinga msisubiri waumweHiyo Hali ilinikuta mwezi wa 3 nilipima malaria na UTI Kwenye hospital zaidi ya 4 na bado hawakuona ugonjwa ndipo walinishauri na kunipa dawa za Aina tatu
(1) athrizomyicin tabs(azuma)
(2)ped zinc
(3)vitamin C na panadol
baada ya siku 4 nilikuwa poa kabisaaa
Hope tukichat nae akiturukiiiiiiijisalimishe haraka maaana kirusi cha awamu hii kinapuputisha! pia hakiangalii kijana wala mzee kinapiga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Achanganye na pilipili cayyene,,zile ndefu nyekundu.Hizo dalili zina define Corona, kupima jaribu Muhimbili au Mwananyamala uliza mapokezi, ila muhimu usiuwaze sana huo ugonjwa as long as umepata improvement then never look back.
Tumia malimao (juice) wataalamu wanasema yanaongeza kinga ya mwili kwa haraka, uchangamshe mwili wako kwa mazoezi ule vizuri, after two days utakuwa sawa.
Kwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.
Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.
Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.
Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.
Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.
Ahsante.
Moshi ni ground zero,kwa takriban miezi 6 sasa..Haraka Sana tumia dawa hii.
Nunua bicarbonate of soda nunua na limao ylza kutosha.
Kata limao mbili kama ni ndogo au moja kama ni kubwa kamulia kwenye mug ya kunywea chai. Ondoa mbegu. Chukua nusu kijiko cha chai cha bicarbonate of soda tia kwenye maji ya limao. Itafoka Sana na povu acha itulie halafu chukua maji Moto yanayochemka mimina kwenye kikombe taratibu na itafoka tena na povu. Acha kidogo itulie na chukua kijiko Indoa povu kidogo lililobaki. Kunywa asubuhi, mchana na jioni unapolala.
Ndani ya siku Moja au mbili utarudi kutoa ushuhuda hapa.
Endelea kunywa kwa siku 7 mfulilizo.
Angalizo: Kama Una presha ya kupanda tumia robo kijiko ya bicarbonate of soda.
Wakati huo huo blend matango, limao na ganda lake nusu, tunguu swaumu punje 3, kariti Moja, tangawizi ukubwa wa kidole gumba na majani 5 mchicha kunywa kwa budii.
Kwa ulivyoeleza ni korona na hujapata dawa na unazidi kupoteza muda kirusi kinazidi kuelekea kubaya.
Pambana.
Ila sasa kila siku dalili za korona ziko mitandaoni na matangazo ya serikali hamtaki kusoma maana mnabeza hakuna Korona na wengine wanambeza mheshimiwa Rais. Ni hivi Korona IPO na inaua. Juzi kijijini Moshi huko nilikooa geneza Nne Kanisani kwa mpigo na huko Marangu kwa rafiki yangu marehemu 7 Kanisani kwa ibada.
Tuendekee kuchukua tahadhari.
Wakuu covid is real hapa nilipo mimi binafsi kuna watu zaidi ya watano ninaowafahamu wanaugua wako hospital. Jana kuna mwingine amepelekwa kuzikwa Kigoma.
Kinachoniuma ni kuwa mtaani watu hawana habari yoyote wao maisha yasonge tu. Halafu wakikuona umevaa barako na una sanitizer wanakushangaa.
Kupanga ni kuchagua. Tuwakumbushe tuwapendao kuchukua tahadhari.
Kufuata utani wa Kisukuma utakuwa chizi nyumbu wewe! Unafikri hapo namaanisha kumtukana huyo mdau? Kama hayujakaa huku kwetu bora ujinyamazie hii ndiyo inatufanya tunakuwa watani wa kila kabila hapa nchini!Yaani ulipozaliwa inaonekana mama.alisema NENO hilihili I.pumbavu ndio.umentesa hivi
unaukimwiKwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.
Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.
Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.
Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.
Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.
Ahsante.
Unatakaje boss? Kisa unaumwa tufunge mtaa
Usisahau nilikutafuna peku hivyo ukapime pia mama angu.unaukimwi
Mkuu zana unazo halafu unaendelea kulala, hata ukipima hauta pona, tumia hii 👇View attachment 1848625
Jaribu kipimo cha covid-19 cha kuingiza kwenye haja kubwa nacho kikigoma basi umelogwaKwa hali niliyonayo nahisi hii ni covid 19 3rd wave Delta.
Kwa muda wa wiki nzima hii inayoisha kesho nimekua naumwa ugonjwa usiojulikana. Nimeenda hospitali zaidi ya 2 bado sionyeshi ugonjwa wowote.
Kuanzia jumamosi iliyopita nilikua naumwa kichwa kisicho cha kawaida, nikapewa dawa za kutuliza maumivu lakini wapi, jumatano nikaenda hospitali nyingine nikabadilishiwa dawa kichwa kimeacha kuuma ila mwili hauna nguvu, nimekua mnyonge na dhaifu sana.
Sina ladha ya chakula na wala sitaki kula, nataka muda wote niwe nimelala hadi mbavu zinauma, sihisi harufu yoyote lakini pia nimeanza kuhara mara moja moja na kukohoa kifua kinawasha washa.
Naomba kufahamu hapa Dar ni wapi naweza kwenda kupima covid. Ingawa nimeanza kuona improvement lakini natamani nipime niwe na uhakika.
Ahsante.
Unajua hii issue unless imfike mtu personally labda kafa yeye au mwanae au ndugu yake wengi hawataamini. Tutakufa kama kuku wa kideri.Wale wabishi wabishi wafuasi wa magufuli wazee wa "R.I.P NA MISS YOU BABA"njooni hapa msome comment ya Chaliifransisco....acheni ubishi wa kijinga
Kamanda watu wanachomoka aise...huku nilipo hospitali zina wagonjwa wengi mno n others wanapoteza maisha...hali ni mbaya ndugu zanguni....
Vichwa ngumu sidhani kama watanielewa
Ukiumwa wewe inatosha hiyo Corona inatosha.Ila nyie watu...sema hayakuwapata ndani ya family ndio maana hamuichukulii serious...