Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Duh!Hayo mambo huwa yanafanywa sana na wahuni wa kizungu huku mtu anatembezewa na mijeledi mwilini.Sijui tuiteje hii kitu;Hahaha mtu wa hivyo daw yake unamfunga kwamba mwili wote
Mtu wa hivyo akikung'ata kwenye shingo unamng'a a na yeye kwenye masikio 😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akigeuka basi samsing iz rongu samuwea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha asubuhi hii Ubarikiwe maa[emoji23]Mtu wa hivyo akikung'ata kwenye shingo unamng'a na yeye kwenye masikio [emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂Vitu vingine havihitaji ushauri vitendo tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha asubuhi hii Ubarikiwe maa[emoji23]
Hiyo sasa itakuwa vita lol
Tena?Atashitakiwa kwa mauaji "the first degree murder"!Jipake sumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vitu vingine havihitaji ushauri vitendo tu.
Hiyo mbona kawaidaa... Mwenzio anang'atwaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana love bites ana makovuuu ya menoo...Haya mambo tunayaeleza kama utani ila omba yasikukute.Niliwahi kupigwa love-bites na bibie mmoja hivi hadi siku tatu ziliisha navaa mashati nafunga vifungo hadi cha mwisho.Nilipata mateso bila chuki.
Hahaha kwa nini usiludishe mashambulizi na wewHaya mambo tunayaeleza kama utani ila omba yasikukute.Niliwahi kupigwa love-bites na bibie mmoja hivi hadi siku tatu ziliisha navaa mashati nafunga vifungo hadi cha mwisho.Nilipata mateso bila chuki.
Kesi yake ni nzito.Anahitaji wakili mahiri sana.Hiyo mbona kawaidaa... Mwenzio anang'atwaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana love bites ana makovuuu ya menoo...
Hahahahahaaa! Nilivumilia mara tatu ila sikumrudishia.Nilichofanya ni kumpa deep kisses muda wote uliosalia kujikinga na huyu "miss mng'ato"!Hahaha kwa nini usiludishe mashambulizi na wew
Balaa hiliiKesi yake ni nzito.Anahitaji wakili mahiri sana.
Hahahahahaaa! Anabadilika kutoka "miss mng'ato" hadi kuwa "miss kibogoyo"!Very simple. .. Mng'oe meno ya mbele
Hivi ni kuzidi kwa raha au kusudi kwa kweli mim nikikutana na hali hiyo sikubali nalianzisha baada ya raha kutazuka ngumi humo ndaniHahahahahaaa! Nilivumilia mara tatu ila sikumrudishia.Nilichofanya ni kumpa deep kisses muda wote uliosalia kujikinga na huyu "miss mng'ato"!
Hahaha mkuu hamna namna.. Maana jamaa kashauriwa amvalishe helment au mask jamaa dzain kama hatakiHahahahahaaa! Anabadilika kutoka "miss mng'ato" hadi kuwa "miss kibogoyo"!
Hii kitu isikie tu.Mara ya kwanza ananing'ata nilidhani yeye ndiye ameumia kwa hiyo ili kujibu mapigo kaning'ata.Kumbe si hivyo.Kwani mara ya kwanza nilipomwambia amening'ata akashangaa na kuomba msamaha.Mara ya pili na ya tatu hivyohivyo.Nikaukumbuka ule msemo wa "kizaramo" usemao "...sometimes something might catch you without your awareness"...! Hivyo BASI;Hivi ni kuzidi kwa raha au kusudi kwa kweli mim nikikutana na hali hiyo sikubali nalianzisha baada ya raha kutazuka ngumi humo ndani