my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Una aibu sana we sio muongeaji ndio maana unafikilia sana wanatoongea wenzio
Hebu njoo pm tupige stori usiku huu nina maneno matamu nikwambie
seriously
Mtu mwenye IQ kubwa humu naemtambua ni @K 4 REAL tu
Mtu mwenye IQ kubwa humu naemtambua ni @K 4 REAL tu
coz nkiangalia wazee, watu wazma wanafanya mambo ya kjingaa, wanawaza ujnga, wanatoa mawazo ya kjinga kwa umri wngu siwez kufanya na sijawah kufikir km ntakuja kufanya ujinga wanaofanya. nkiangalia ambao tunalingana umri naona wanafanya mambo ya kitoto, siwez kufanya wanayofanya. kwann inakua hiv inawezekana nina IQ kubwa au kuna sabab nyngine? msaada