Nahisi Nina maralia.

Nahisi Nina maralia.

alexelias

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
2,032
Reaction score
3,197
Habari zenu ndg.

Nipo tu hapa nimelala nahisi nina maralia. Maana kichwa miguu na hata uchovu ni wa dalili za maralia.

Niwatakie tu usiku mwema.
 
Kama umeamua hadi kuleta uzi basi ni dalili tosha kuwa imepanda kichwani tayari!! Wahi dodoma mkuu!
 
Habari zenu ndg.

Nipo tu hapa nimelala nahisi nina maralia. Maana kichwa miguu na hata uchovu ni wa dalili za maralia.

Niwatakie tu usiku mwema.
wewe ni Ke au Me angalie unachokihis siyo kitokanacho na Mbu K Mobeto
 
Kama ni maralia sio shida sana mi nilidhani una malaria
 
Sio kila homa ni malaria,zama zimebadilika mkuu kapime.
 
Habari zenu ndg.

Nipo tu hapa nimelala nahisi nina maralia. Maana kichwa miguu na hata uchovu ni wa dalili za maralia.

Niwatakie tu usiku mwema.
Ningeshangaa sana kama ungekuwa siyo mgonjwa.Kuna vyumba pale "Milembe hotels" Dodoma,wahi.Usimamishe mishipa kuishabikia sisyemu na dhambi zake zote malaria ikuache?
 
Habari zenu ndg.

Nipo tu hapa nimelala nahisi nina maralia. Maana kichwa miguu na hata uchovu ni wa dalili za maralia.

Niwatakie tu usiku mwema.
acha uoga hata UKIMWI uko namna hii mtuu anaweza kuumwa kwa typhoid au TB
 
if you are girl go clinic quickly maybe you have pregnant but if you are man just wake up dude
 
Pole sana, ila kama ulipiga vyombooo sana inaweza kuwa sababu, nenda hospital ukapime ujue mbichi na mbivu
 
Back
Top Bottom