mama lubango
Member
- Aug 16, 2011
- 56
- 8
Leo nimeitwa na DVCAA nikapewa barua kuwa jumanne niende kwenye kikao cha Examination Comittee.
Semister ya pili sikufanya mitihan kwan chuo chetu hakiruhusu mtu kufanya mitihani unless hadaiwi.
Sasa mimi nilikuwa nadaiwa hivyo sikufanya mitihani
Nahisi watanifukuza chuo kwa sababu hiyo ohh moyo unauma karibu nilikuwa namaliza niombeeni jaman sina hata nguvu