Nahisi Simtendei Haki Na Jitihada Zangu Zote!

Nahisi Simtendei Haki Na Jitihada Zangu Zote!

Signora D

Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
19
Reaction score
5
mimi ni newcomer hapa ofisini kwetu, na kwa bahati mbaya session yetu ina wanawake wengi wengi kuliko wanaume, nikisema hivyo namaanisha maboss wangu wanne ni wa kike na wawili ni wa kiume wote WAMEOA NA KUOLEWA!
na kwa bahati mbaya nimewekwa meza iliyo opposite na boss wangu wa kiume! shida inakuja, kuwa tangu naingia hapa ofisini nahisi huyu mkaka anakosa kuwa huru kabisa, najitahidi sana kwenye mavazi yangu nisije kumtega somehow or other but sijui ni kipi kinachomfanya akose uhuru wake aliyekuwa nao kabla ya mimi kuja hapa! imefikia sasa anakuwa anaenda kujificha library watu wakimuuliza anasema anahitaji concetration zaidi kitu ambacho si sahihi kwa wengi walivyomzoea, nakosa amani naamini mimi ndo cha chanzo cha yote! juzi wakati tupo kwenye mkutano alikuwa akiniangalia mno kiasi kwamba mpaka hawa wamama wamejua kuna hali ya utofauti! sijui nifanyeje jamani wanajf naombeni ushauri! sitaki hawa maboss wangu wa kike waone mimi ndo chanzo!!!
 
Hapo Bi dada zungumza na bosi wako wa kike akuhamishe meza, Ndoa ya mwanamke mwenzio iko mashakani, onyesha unajali ustawi wa familia.

If this man is that cunning, basi hapo anachukua credit toka kwako ili akija kukutongoza anakuambia, 'kwa kweli nimejizuia nimeshindwa'
Na wewe si umemuona anakukimbia kabisa, basi unaona kakupeeenda! kumbe hakuna lolote haki ya mama tena!

We vaa vizuri komaa na kazi
 
Hapo Bi dada zungumza na bosi wako wa kike akuhamishe meza, Ndoa ya mwanamke mwenzio iko mashakani, onyesha unajali ustawi wa familia.

If this man is that cunning, basi hapo anachukua credit toka kwako ili akija kukutongoza anakuambia, 'kwa kweli nimejizuia nimeshindwa'
Na wewe si umemuona anakukimbia kabisa, basi unaona kakupeeenda! kumbe hakuna lolote haki ya mama tena!

We vaa vizuri komaa na kazi

That is one big piece of advice!
 
Upo kazini fanya kazi...mpaka atakapofunguka
 
But u can take it in a positive way...kaa kwenye kiti chake uwe boss wake then fire him....

Again unawezekana ukawa "haumvutii to a way anaona kukaa na kuzoeana na binti mbovu kama wewe ni kichefuchefu ndo anaamua kukuepuka"

pia unaweza kukomaa bila kusema chochote uone atasemaje then njoo tukupe majibu...what if anakuambia "sikupendi"...si utahama ofc....akikuambia "nakupenda na ameoa na wewe anataka uwe mke wa pili kama sie waislam mwisho wa-4 utakataa?
 
Unavaaji hapo ofisini!? Maana usije ukawa unavaa yale mavazi yenu mnayoyaona ya kawaida kwenu kumbe kwa wengine ni utata.
Mnayajua na mnajua kabisa kwamba yanatega!
 
mimi ni newcomer hapa ofisini kwetu, na kwa bahati mbaya session yetu ina wanawake wengi wengi kuliko wanaume, nikisema hivyo namaanisha maboss wangu wanne ni wa kike na wawili ni wa kiume wote WAMEOA NA KUOLEWA!
na kwa bahati mbaya nimewekwa meza iliyo opposite na boss wangu wa kiume! shida inakuja, kuwa tangu naingia hapa ofisini nahisi huyu mkaka anakosa kuwa huru kabisa, najitahidi sana kwenye mavazi yangu nisije kumtega somehow or other but sijui ni kipi kinachomfanya akose uhuru wake aliyekuwa nao kabla ya mimi kuja hapa! imefikia sasa anakuwa anaenda kujificha library watu wakimuuliza anasema anahitaji concetration zaidi kitu ambacho si sahihi kwa wengi walivyomzoea, nakosa amani naamini mimi ndo cha chanzo cha yote! juzi wakati tupo kwenye mkutano alikuwa akiniangalia mno kiasi kwamba mpaka hawa wamama wamejua kuna hali ya utofauti! sijui nifanyeje jamani wanajf naombeni ushauri! sitaki hawa maboss wangu wa kike waone mimi ndo chanzo!!!
Kama unavaa kibongomovie lazima asiwe huru mavazi hayo yatakuwa yanamuharibia siku
 
Hapo Bi dada zungumza na bosi wako wa kike akuhamishe meza, Ndoa ya mwanamke mwenzio iko mashakani, onyesha unajali ustawi wa familia.

If this man is that cunning, basi hapo anachukua credit toka kwako ili akija kukutongoza anakuambia, 'kwa kweli nimejizuia nimeshindwa'
Na wewe si umemuona anakukimbia kabisa, basi unaona kakupeeenda! kumbe hakuna lolote haki ya mama tena!

We vaa vizuri komaa na kazi

Petcash. This is brilliant piece of adv!!
 
Isije kuwa wewe ndo umemzimikia boss wako ndo maana unamhisi hivyo???
 
kama ni muislamu, mwambie aache tu! hakuna mfungo hapo!
 
Duhh! Hapo kazi ipo, bt I think Mawazo yako huenda yakawa yanakupeleka kusiko, yeye hajafunguka kwako, kwa nini usifanye kilichokupeleka kwenye hiyo ofc? Au unataka akutokee?

Don't judge a book by it's cover! Fanya kazi! Huenda hata hao kina mama wameanza kukushtukia kwa jinsi wewe mwenyewe ulivyo na sio mabadiliko ya huyo boss kijana!
 
angalia marashi unayotumia wengine wako allergic na hawezi kukuambia.
kama ni ishu ya mapenzi angeshaonyesha ukaribu zaidi na vi lunch vya hapa na pale.
mayb yaweza kuwa hivo
na pia u can tok to him kwa kumtania mbona wakimbia kiti boss?
 
Kuwa serious na kazi yako, why are you so bothered na yeye? ukionekana kumjali sana utaleta maswali mengi ofisini, yeye si bosi kama ulivyosema akiona hawezi atatafuta seat nyingine au hatakuamisha mwenyewe dont be much conserned about him unless ameanza kuuteka moyo wako.
 
Nimegundua kuwa wewe uko cool sana ndio maana ana kosa hata uhuru.

Chakufanya anza kumpigisha stori atazoea na atakuwa huru.
 
mimi ni newcomer hapa ofisini kwetu, na kwa bahati mbaya session yetu ina wanawake wengi wengi kuliko wanaume, nikisema hivyo namaanisha maboss wangu wanne ni wa kike na wawili ni wa kiume wote WAMEOA NA KUOLEWA!
na kwa bahati mbaya nimewekwa meza iliyo opposite na boss wangu wa kiume! shida inakuja, kuwa tangu naingia hapa ofisini nahisi huyu mkaka anakosa kuwa huru kabisa, najitahidi sana kwenye mavazi yangu nisije kumtega somehow or other but sijui ni kipi kinachomfanya akose uhuru wake aliyekuwa nao kabla ya mimi kuja hapa! imefikia sasa anakuwa anaenda kujificha library watu wakimuuliza anasema anahitaji concetration zaidi kitu ambacho si sahihi kwa wengi walivyomzoea, nakosa amani naamini mimi ndo cha chanzo cha yote! juzi wakati tupo kwenye mkutano alikuwa akiniangalia mno kiasi kwamba mpaka hawa wamama wamejua kuna hali ya utofauti! sijui nifanyeje jamani wanajf naombeni ushauri! sitaki hawa maboss wangu wa kike waone mimi ndo chanzo!!!

Hali hii ni ya kawaida kuwapata wakaka hasa wenye macho mengi wanapomuona mdada yoyote mpya kwa ofisi,me mwenyewe iliwahi nitokea kipindi flani hivii nikiwa nafanya kaz bank.Ni hali ya kawaida na huwapata wanaume wengi kwa sababu wao wameumbwa na tamaa,kaz kwako kuzuia hiyo tamaa isiende mbali.
Zingatia mambo yafuatayo uwapo kazini
1.Usivae nguo zinazoacha sehemu kubwa ya mwili wazi hata kama wewe unaona ni za kawaida.
2.Unapokuwa ofisini kuwa kama mfanya kazi na sio msichana,acha tabia za kisichana nyumbani
3.Muheshimu huyo kaka na ujiheshimu mwenyewe hapo hajakuzoea akikuzoea ataacha kukuangalia.
4.Do not date a fellow employee itakucost my dia
5.Omba ushauri kwa mmoja kati ya maboss zako hao wa kike hii itakuondolea hofu ya kujadiliwa hapo ofisini.
6.Ukikutana nae msalimie kwa uchangamfu na heshima bila tone la aibu atakuheshimu na hatokutamani tena.
Ukizingatia haya utaishi ofisi yoyote kwa amani sana dadaangu,All the best
 
mimi ni newcomer hapa ofisini kwetu, na kwa bahati mbaya session yetu ina wanawake wengi wengi kuliko wanaume,

bahati mbaya nimewekwa meza iliyo opposite na boss wangu wa kiume!
shida inakuja, kuwa tangu naingia hapa ofisini nahisi huyu mkaka anakosa kuwa huru kabisa,

mavazi yangu nisije kumtega somehow or other but sijui ni kipi kinachomfanya akose uhuru wake !

anakuwa anaenda kujificha library ........ anahitaji concetration

juzi wakati tupo kwenye mkutano alikuwa akiniangalia mno

Signora D, nikupe pole kwa masaibu yanayokukuta. Lakini kwa nini ufikirie zaidi kuhusu kukutamani na sio kukuchukia? Hebu toka nje ya sanduku na uuone mwanga vizuri labda utapata ukweli wa nje ya sanduku.

Lakini ukiona vipi omba kubadilishiwa kiti.

Mwisho maumivu ya kichwa huanza taratibu na yasipotibiwa huleta umauti.

Ndimi Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Hali hii ni ya kawaida kuwapata wakaka hasa wenye macho mengi wanapomuona mdada yoyote mpya kwa ofisi,me mwenyewe iliwahi nitokea kipindi flani hivii nikiwa nafanya kaz bank.Ni hali ya kawaida na huwapata wanaume wengi kwa sababu wao wameumbwa na tamaa,kaz kwako kuzuia hiyo tamaa isiende mbali.
Zingatia mambo yafuatayo uwapo kazini
1.Usivae nguo zinazoacha sehemu kubwa ya mwili wazi hata kama wewe unaona ni za kawaida.
2.Unapokuwa ofisini kuwa kama mfanya kazi na sio msichana,acha tabia za kisichana nyumbani
3.Muheshimu huyo kaka na ujiheshimu mwenyewe hapo hajakuzoea akikuzoea ataacha kukuangalia.
4.Do not date a fellow employee itakucost my dia
5.Omba ushauri kwa mmoja kati ya maboss zako hao wa kike hii itakuondolea hofu ya kujadiliwa hapo ofisini.
6.Ukikutana nae msalimie kwa uchangamfu na heshima bila tone la aibu atakuheshimu na hatokutamani tena.
Ukizingatia haya utaishi ofisi yoyote kwa amani sana dadaangu,All the best

Umemaliza kila kitu..what a constructive advice!!!
 
wait a minute!NAHISI SIMTENDEI HAKI, unataka kumtendea haki gani we dada?mi sijaelewa hapa?kwani haki yake hapa ni ipi?
 
juzijuzi na yeye aliomba ushauri hapa kwamba kuna binti newcomer anamzingua yani kila saa ni matatizo sijui umempa nini, naona ameamua kukimbia yasije kuwa majanga! tafuta sredi za nyuma utampata afu m-PM kwa maelezo zaidi.
 
wait a minute!NAHISI SIMTENDEI HAKI, unataka kumtendea haki gani we dada?mi sijaelewa hapa?kwani haki yake hapa ni ipi?

Anataka ammpe majamboz lakini kwa kuwa jamaa hajaanza kusema! Hapa inaonekana yeye ndo anapata shida na sio jamaa!
 
Back
Top Bottom