Nahisi Simtendei Haki Na Jitihada Zangu Zote!

wait a minute!NAHISI SIMTENDEI HAKI, unataka kumtendea haki gani we dada?mi sijaelewa hapa?kwani haki yake hapa ni ipi?

Anataka ammpe majamboz lakini kwa kuwa jamaa hajaanza kusema! Hapa inaonekana yeye ndo anapata shida na sio jamaa!
NB, anakiri kabisa kuwa anafanya jitihada bt still..................................
 

Hapo ktk red pazingatie sana, sio wewe tu na hata msichana mwingne yeyote.
 
Binti, inaelekea na wewe umeanza kupata shida na dhoruba ya mapenzi kama sio matamanio kwa huyo jamaa, si kitu kibaya kupendana au kutamaniana,ila tayari huyo jamaa keshaoa, ucje ukaharibu ndoa yake bure!!tulia, utapata wako. mpotezee na omba uhamishwe ofisi ili msionane marakwamara na kutegana coz nahisi hata wewe unamtega jamaa wa watu japo unajitetea unajitahidi "kutomnyanyasa kisaikolojia"!!!!!
 
Mimi nahisi huyo colleague wako ni wale wenye pepo la ngono. Mbona sisi tunafanya kazi na wasichana warembe lakini kwa kuwa wameolewa tunakula ngumu...na kazi zinaenda.
Kama wachangiaji; jitahidi kuvaa nguo za heshma. Chapa kazi kwani ukiwa loose mambo mengi maovu yanakuja kichwani...
 
uamuzi uliobaki ni 'umgawie tu hadi aichoke' arudi kwa mkewe
na wewe uendelee na kazi yako bila usumbufu
 

Una wazimu unakunyemelea. Hivi wewe ulienda hapo kazini kuangalia wanaokugalia au kufanya kazi. Wewe fanya kazi yako uhakikishe Job description yako kwa siku inatimia. Hayo mengine unaumiza kichwa, hata utafakari vipi hutapata jibu.
Huyo ni mwanangono, alikuwa na tabia ya kupiga mabao hao kwenye computer yake, sasa amejua umekuja kuharibu dili zake (hizi picha za ngono zimeathiri watu wengi sana).

Fanya kazi binti, acha kujihisi ujinga.
 
Dada yangu pole kwa yote yaliokukuta we vumilia tu dada yangu niyakawaida kuwa serious na kazi iliyokuleta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…