Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Kuwa na mtaji sio kigezo cha kufanikiwa kwenye biashara, hizi biashara zina wenyewe.
Kua na mtaji sio kigezo cha kufanikiwa kwenye biashara hizi biashara zina wenyewe.
Mkuu cheki fursa nyingine hapo kisiwani. Nasikia kuni zinatoka sana visiwani
Ila kweli mkuu.Kiongozi wiki 2 tu unataka kua zaidi y wakongwe kwa game zaidi ya MIAKA 7 hv. Kweli hata mungu hapendi
Naenda kulima.
Rusahunga kuna hekari zaidi ya 200.Wapi huko twende wote
Pambana hivyo hivyo usichoke Mungu atakufanyia wepesiHabari wakuu, nipo kwenye kisiwa cha maisome kilichopo Sengerema, nina mwezi sasa nafanya biashara ya uchuuzi wa samaki aina ya sato natoa huku napeleka Mwanza ila faida sipati kwasababu nilikuwa nachukua kwa walanguzi sio direct kutoka kwa wavuvi so faida ilikuwa inaishia kwenye malazi na usafiri, ndio nikashauriwa nitafute wavuvi niwadhamini nyavu, pumba na kuwakodishia mitumbwi ili waniuzie samaki kwa bei rahisi kidogo.
Aisee nina week zaidi ya mbili hapa wavuvi kuwapata imekuwa mziki, wote wako chini ya watu nazidi kula mtaji tuu nishaanza kukata na tamaa, kuna wavuvi nilifanyiwa connection kutoka kisiwa kingine nikaongea nao vizuri tuu waje nikawapa na offer nzuri but toka juzi wananiambia wameshakuja wapo ila nikiwaambia tuonane tuongee wananiambia wanakuja, muda unazidi kwenda hakuna ninachofanya yaani basi tuu haya maisha hayana maana, mtanisamehe kwa uandishi m'bovu, nipo confused.
HahaaBiashara za Kibongo ni uchawi mtupu.
Mpaka muuza vitumbua ana mganga wake
Rusahunga Iko mkoa upi?Rusahunga kuna hekari zaidi ya 200.
KageraRusahunga Iko mkoa upi?
Kilimo ni uti wa mgongoKagera
Kabisa mkuu nikichanganya na tumifugo kama mbuzi na kuku basi mambo bomba kabisa.Kilimo ni uti wa mgongo
Sio bomba unavyofikiria mkuuKabisa mkuu nikichanganya na tumifugo kama mbuzi na kuku basi mambo bomba kabisa.
Ni kumuomba Mungu mkuu.Sio bomba unavyofikiria mkuu
Mkuu mimi nakushauri nenda pangani au zanzibar wakaoshe nyota yako mimi nakuambia hivyo kwasababu nimeiishi biashara kwa zaidi ya miaka 20Mkuu ni noma yaani huku kuna watu washatengeneza majina kushindana nao sio rahisi.
Juzi kati kuna shida nzito ilitupata tuambiwa na jamaa shida imeisha tuandae hela yake laki 3 na ya mganga 700k tukanusa utapeli jamaa akasema hamlipi mpaka iishe shida tukas3ma nn tunaogopa sasa.ile kwenda mwanza kuletewa mganga yaani mdada kama wa miaka 27 na ni pisi kali tena kama shangingi hivi maana kajichubua kiasi chini vikuku na kipini puani asee nkamwambia jamaa tunapigwa.jamaangu akasema ngoja tuone demu alishuhurika ndani ya siku tatu tumemaliziwa shida kwa kishindo kikuu tukatoa milion ya watu.Wachawi sio lazima wabebe matunguli na kuvaa makaniki na kujipakaa masizi na mganga sio lazima avae mashuka meupe na mekundu akiwa ameshika mkia wa Ng'ombe au Mbuzi na kibuyu
Yaani mwezi tubkatika biashara unataka kupata faida hata biashara yenyewe Bado huijui?Habari wakuu, nipo kwenye kisiwa cha maisome kilichopo Sengerema, nina mwezi sasa nafanya biashara ya uchuuzi wa samaki aina ya sato natoa huku napeleka Mwanza ila faida sipati kwasababu nilikuwa nachukua kwa walanguzi sio direct kutoka kwa wavuvi so faida ilikuwa inaishia kwenye malazi na usafiri, ndio nikashauriwa nitafute wavuvi niwadhamini nyavu, pumba na kuwakodishia mitumbwi ili waniuzie samaki kwa bei rahisi kidogo.
Aisee nina week zaidi ya mbili hapa wavuvi kuwapata imekuwa mziki, wote wako chini ya watu nazidi kula mtaji tuu nishaanza kukata na tamaa, kuna wavuvi nilifanyiwa connection kutoka kisiwa kingine nikaongea nao vizuri tuu waje nikawapa na offer nzuri but toka juzi wananiambia wameshakuja wapo ila nikiwaambia tuonane tuongee wananiambia wanakuja, muda unazidi kwenda hakuna ninachofanya yaani basi tuu haya maisha hayana maana, mtanisamehe kwa uandishi m'bovu, nipo confused.
Mganga MUNGU tu maana hata huyo mganga nae anapiga goti chini anamuomba Mungu ili Mambo yaende aingize Pesa kinyume na hapo Mambo yakiwa tofauti wateja lazima wakimbieJuzi kati kuna shida nzito ilitupata tuambiwa na jamaa shida imeisha tuandae hela yake laki 3 na ya mganga 700k tukanusa utapeli jamaa akasema hamlipi mpaka iishe shida tukas3ma nn tunaogopa sasa.ile kwenda mwanza kuletewa mganga yaani mdada kama wa miaka 27 na ni pisi kali tena kama shangingi hivi maana kajichubua kiasi chini vikuku na kipini puani asee nkamwambia jamaa tunapigwa.jamaangu akasema ngoja tuone demu alishuhurika ndani ya siku tatu tumemaliziwa shida kwa kishindo kikuu tukatoa milion ya watu.
NAMBA YA MGANGA SINA USIJISUMBUE INBOX
Uganga ni maarifa yaliyoumbwa na mungu waliyonayo wanadamu .kinachoponya TV ni ufundi wa kutengeneza TV sasa ww TV imeharibika Anza kusema maarifa yote ya mungu uanze kuomba mungu .acha ujinga nenda kwa fundi TV dakika tano TV inapona.Mganga MUNGU tu maana hata huyo mganga nae anapiga goti chini anamuomba Mungu ili Mambo yaende aingize Pesa kinyume na hapo Mambo yakiwa tofauti wateja lazima wakimbie