BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kupata baraka sio guarantee ya mafanikio.Mkuu nilikua dar nina biashara flani ikafa nikaamua kuingia mkoani kusaka life nikaanzia tunduma mambo sikuyaelewa nikaenda mgodini chunya huko mambo sikuyaelewa pia nikaamua kuja mwanza nikaanza hii biashara nayenyewe ndio hivi yani acha tuu, toka dar watu wananiambia niende home nipate baraka ndio nirudi kupambana itabidi niende mkuu coz mara ya mwisho home nimeenda 2015.
Kila kinachosemwa kina logic kinachobaki ni kwako nimeona umesema unaenda rusahunga kulima na kufuga. Japo na mimi ni mtafutaji kama wewe naomba nitoe ya moyoni kidogo kutokana na experienceMkuu nimekuelewa mpaka nimepitiliza, barikiwa sana.
Mkuu huku kwenye samaki imani za kishirikina ni nyingi sana kutoka kwa niliowakuta kwenye game yani mpaka nahofia usalama wangu kwa sasa, kwasababu mimi ni mgeni basi imebidi niongeze mia tano kwenye bei niliyoikuta basi wavuvi wengi wanataka kuhamia kwangu imefikia point hawa walanguzi niliowakuta hawanisalimii, watu wa pembeni wananiambia nikae kwa makini sana.Kila kinachosemwa kina logic kinachobaki ni kwako nimeona umesema unaenda rusahunga kulima na kufuga. Japo na mimi ni mtafutaji kama wewe naomba nitoe ya moyoni kidogo kutokana na experience
Kwenye kutafuta kuna Wakati vikwazo vinakuwa vingi sana kwenye level ya kukatisha tamaa sio jambo jepesi kuvishinda hivyo vikwazo lakini inabidi ujifunze jinsi ya kuishi navyo.
Hata huko unakoenda weka akilini kuwa utakutana na changomoto kwenye kilimo kama unategemea mvua ni wazi kuna kipindi mvua zikakosekana au zikazidi mazao yakaharibika yaani hiyo nayo ni hasara huo ni uhalisia kila pahala kuna changomoto.
Naunga mkono hoja ya kufocus kwenye kitu kimoja lakini wakati huohuo nasupport kwenye kubadilisha hustle pale unapoona ni wakati sahihi kujaribu kitu kingine maana kungangania kitu kimoja pekee wakati kinakufanya unakosa raha unakuwa ni Ujinga atleast kama kuna promising future.
Kama una soko la kutosha niambie nije pande hizo niongeze mtaji,kuhusu husuda za wazoefu usijali maana mm pia ni mwenyekiti wa roho mbaya,kwa Sasa nipo kahunda.Mkuu huku kwenye samaki imani za kishirikina ni nyingi sana kutoka kwa niliowakuta kwenye game yani mpaka nahofia usalama wangu kwa sasa, kwasababu mimi ni mgeni basi imebidi niongeze mia tano kwenye bei niliyoikuta basi wavuvi wengi wanataka kuhamia kwangu imefikia point hawa walanguzi niliowakuta hawanisalimii, watu wa pembeni wananiambia nikae kwa makini sana.
Mkuu nimeanza kutengeneza ngome yangu nina waloaji wawili nimewatoa kanyara, kesho nitakua hapo kahunda mkuu.Kama una soko la kutosha niambie nije pande hizo niongeze mtaji,kuhusu husuda za wazoefu usijali maana mm pia ni mwenyekiti wa roho mbaya,kwa Sasa nipo kahunda.
Yohimbe bark
Nataka watu kama nyie mkuuKama una soko la kutosha niambie nije pande hizo niongeze mtaji,kuhusu husuda za wazoefu usijali maana mm pia ni mwenyekiti wa roho mbaya,kwa Sasa nipo kahunda.
Yohimbe bark
Shukrani mkuu.TAFADHALI, TAFADHALI USIJINYONGE WALA KUCHUKUA MAAMUZI YA HATARI.
Ndio biashara zilivyo, kikubwa ni uvumilivu na kubadili mbinu, na mambo yakiwa magumu zaidi unaweza kubadili aina ya biashara, usilazimishe ufanikiwe kwenye biashara ambayo inakumalizia mtaji mwisho utabaki mikono mitupu.
Nisaidie namba yakoMkuu nilikua dar nina biashara flani ikafa nikaamua kuingia mkoani kusaka life nikaanzia tunduma mambo sikuyaelewa nikaenda mgodini chunya huko mambo sikuyaelewa pia nikaamua kuja mwanza nikaanza hii biashara nayenyewe ndio hivi yani acha tuu, toka dar watu wananiambia niende home nipate baraka ndio nirudi kupambana itabidi niende mkuu coz mara ya mwisho home nimeenda 2015.
Upo sahihi kabisa,Kuwa na mtaji sio kigezo cha kufanikiwa kwenye biashara, hizi biashara zina wenyewe.
Ni kweli kabisa hili, hizi biashara zinaanzia kwenye Ulimwengu usioonekana.Mkuu umesema kweli yani huku uchawi ndo umetawala hata wavuvi wananiambia nije nimejipanga huku.
[emoji23]Biashara za Kibongo ni uchawi mtupu.
Mpaka muuza vitumbua ana mganga wake
Duh ni hatari.Ni kweli kabisa hili, hizi biashara zinaanzia kwenye Ulimwengu usioonekana.
Kama hufahamu hili kutoboa kutakua kugumu sana.
Ni mawili tu, usimame na Mungu kweli kweli au ugeukie upande wa giza, chaguo ni lako
Nipo mwanza mkuu.Ukiwa mwanza mjini nitafute ndugu
Umeongea ukweli kabisa kaka yani mfumo ni wa kipuuzi kuanzia kwa maafisa uvuvi kukamatakama na kutaka rushwa, ninaplan ya kulima tuu.Na hio biashara ina mifumo mibovu sana kaka kuanzia ziwan hadi sokoni hapo mwanza kiukwel mm sikushauri ufanye hio biashara bora ulime mahindi visiwan huko au ufanye biashara yoyote hata uchinga utatoboa kisiwan huko lakin samaki ujipange na utajiona una mkosi kumbe mfumo wa biashara ni mbovu
Pole yani hakuna kitu rahisi, usikate tamaa, usife moyo. Endelea kutafuta namna ya kuwapata.Habari wakuu, nipo kwenye kisiwa cha maisome kilichopo Sengerema, nina mwezi sasa nafanya biashara ya uchuuzi wa samaki aina ya sato natoa huku napeleka Mwanza ila faida sipati kwasababu nilikuwa nachukua kwa walanguzi sio direct kutoka kwa wavuvi so faida ilikuwa inaishia kwenye malazi na usafiri, ndio nikashauriwa nitafute wavuvi niwadhamini nyavu, pumba na kuwakodishia mitumbwi ili waniuzie samaki kwa bei rahisi kidogo.
Aisee nina week zaidi ya mbili hapa wavuvi kuwapata imekuwa mziki, wote wako chini ya watu nazidi kula mtaji tuu nishaanza kukata na tamaa, kuna wavuvi nilifanyiwa connection kutoka kisiwa kingine nikaongea nao vizuri tuu waje nikawapa na offer nzuri but toka juzi wananiambia wameshakuja wapo ila nikiwaambia tuonane tuongee wananiambia wanakuja, muda unazidi kwenda hakuna ninachofanya yaani basi tuu haya maisha hayana maana, mtanisamehe kwa uandishi m'bovu, nipo confused.