Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
- Thread starter
-
- #121
Mkuu kuna waloaji niliwapata nikawadhamini pumba, sehemu ya kulala pamoja na kuwaazima hela si unajua wanavyoomba, yani toka wameanza kulowa wanakuja na kilo moja wakipata sana kilo 3 pumba zinaisha tuu gunia ni elfu 30 plus ninachokipata sikioni we acha tuu.Ila hio biashara kudhamin kununua nyavu sijui kumiliki wavuvi ujipange lasivyo utapoteza kila kitu
Shukrani mkuu.Pole yani hakuna kitu rahisi, usikate tamaa, usife moyo. Endelea kutafuta namna ya kuwapata.
Lakin tu kua makini sana.
Magumu ni sehemu ya maishaMkuu kuna waloaji niliwapata nikawadhamini pumba, sehemu ya kulala pamoja na kuwaazima hela si unajua wanavyoomba, yani toka wameanza kulowa wanakuja na kilo moja wakipata sana kilo 3 pumba zinaisha tuu gunia ni elfu 30 plus ninachokipata sikioni we acha tuu.
Mkuu ni noma yaani huku kuna watu washatengeneza majina kushindana nao sio rahisi.