Nahitaj kujua kuhusu mambo ya uzazi

Nahitaj kujua kuhusu mambo ya uzazi

Joined
Dec 11, 2013
Posts
15
Reaction score
5
Habari zena wana jf naomba kujuzwa kuhusu uzazi naama jinsi ya kuhesabu siku zipi ni za hatari ( baada ya kumaliza hedhi mwanamke anaweza kupata mimba) na zipi sio za hatari ( mwanamke hawezi pata mimba). naomba kuwasilisha
 
hujajibiwa kwakua swali hili limekua comon sn hapa, ila kuna thread nyingi sana humu za maswala uzazi, zisome.
 
Kwa ushauri tu,mleta mada ungejaribu kupitia nyuzi mbalimbali za awali,yamejadiliwa sana hayo maswala uliyoyauliza,
 
Back
Top Bottom