nahitaj mrembo wa ndoa

nahitaj mrembo wa ndoa

utayajuaje mapenzi ya dhati? wewe silo pita njia? soma uangalie tu chuoni hapo dogo ...
 
kumbe bado unasoma hata hela hujakamata?
sijui kama watakuja hebu tusubiri
kwani chuoni hujaona o?
 
mwanachuo bum lake la kwake bum langu letu so naogopa kulala njaa
 
Hbr jf nahitaj binti mvumilivu na mwenye mapenzi ya dhat 1.awe muislam 2.kiwango chochote cha elim 3.asiwe kiruka njia kwa aliye tayar ani PM mm n mwanachuo edc mwaka wa kwanza kwetu MBEYA
naona umepata bumu unaolea hahahaah hongera
 
Mbona chuoni wengi?

Halafu, maisha ya hapa ni ya kufikirika zaidi, utarudi unatoa kamasi......
 
Back
Top Bottom