all da best lady
Mimi Muislam alafu darasa la saba vipi nikutafute?
asante
unaonekana wewe mkweli na mcha mungu ila jifunze kutumia mila za kikatoliki kumpata mchumba. kwanza lazima ufunge na kusali sana. Pili mtumie mtakatifu pepetua ndiye atakae kuongoza kupata mtu umtakaye. sali sana. Yesu alisema, ukimuomba mungu ngano hawezi kukupa jiwe. Hivyo amini amini nakuambia muombe mungu naye atakupa utakacho.Am a girl of 30 yrs, naomba mme awe mkristo, mcha mungu, umri kuanzia miaka 34 hadi 40, awe mkweli na mwaminifu. pls aliye interested tuwasiliane kwa e mail pmgissa@gmail.com ili tujuane
Kila la kheri,nina imani utafanikiwa
Amen namuomba mungu anipe mume mwema, asante sanaunaonekana wewe mkweli na mcha mungu ila jifunze kutumia mila za kikatoliki kumpata mchumba. kwanza lazima ufunge na kusali sana. Pili mtumie mtakatifu pepetua ndiye atakae kuongoza kupata mtu umtakaye. sali sana. Yesu alisema, ukimuomba mungu ngano hawezi kukupa jiwe. Hivyo amini amini nakuambia muombe mungu naye atakupa utakacho.
Pole jamani mpk 30 years ulikuwepo kuwepo..??? Ngoja waje mi bado mdogo
umri jamani hapo naona unanitenga mi mwenyewe 30 vipi pm?