Hiyo ngumu sana.
Wenzako wanatumia mbinu ya kununua kiwanja kinachofaa kujengwa fremu.
Hata kama ni kidogo wanakinunua tu. Kisha wanajenga fremu na kufanya biashara wanayotaka.
Ni ngumu sana kupata mtu akuuzie fremu zake. Maana fremu zinaingiza kodi kubwa kuliko nyumba za kuishi. Pia fremu zina faida sana kwa mmiliki.
Mbinu ya pili unaingia mkataba na mwenye kiwanja sehemu nzuri zilizochangamka.
Wewe unajenga fremu idadi kazaa.. kisha mnagawana zingine zinakuwa mali yako na zingine mali ya mwenye kiwanja