Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Wapi napata apartment za bei rais tanga zenye kila kitu. Natakaa kukaa kwa wiki moja!
Kwenu watanga.
Kwenu watanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuturusha roho, wewe usiyejua tofauti ya rais na rahisi unaweza kukodi apatimenti au nia yako ni kutuonesha nawe unalijua jina apatimenti! Acha hizo nenda kafikie Msambweni.Kwenu watanga!!
ukipata tushituaneNakazia hili swali nami nipo hapa maana nina shughuli na mtoto wa kimanga nataka pumziko kama siku nne flani hapo jijini Tqnga.
nataka sehemu ya kulala na kupumzikaNjoo Bambalaga tukeshe asubuhi nakukodia chopa
punguza makasiriko kama una apartment bei poa niambie !! kujua kusoma au kuandika au kiswahili hakuna uhusiano na pesa….Acha kuturusha roho, wewe usiyejua tofauti ya rais na rahisi unaweza kukodi apatimenti au nia yako ni kutuonesha nawe unalijua jina apatimenti! Acha hizo nenda kafikie Msambweni.
Gesti zipo nyingi kila kona, unaweza kukodi kwa mwezi bila tatizo, na wamam wakukupikia wapo mitaani, wanakupikia na kufunika kwa kawa ubwabwa wa samaki uliotiwa nazi na viungo vingine, ila uwajulishe jamaa zako wakukumbushe siku unayotakiwa uondoke.punguza makasiriko kama una apartment bei poa niambie !! kujua kusoma au kuandika au kiswahili hakuna uhusiano na pesa….
pesa inakuja na mitikasi siyo maandishi
gest kwa mwezi gharamaGesti zipo nyingi kila kona, unaweza kukodi kwa mwezi bila tatizo, na wamam wakukupikia wapo mitaani, wanakupikia na kufunika kwa kawa ubwabwa wa samaki uliotiwa nazi na viungo vingine, ila uwajulishe jamaa zako wakukumbushe siku unayotakiwa uondoke.