fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 537
- 556
Nina bati 22 za Alaf. Zimebaki baada ya fundi kunikadiria makadirio yasiyo na tija njoo pm tuyajenge.
Nilinunua kwa 610000 kwa bando mwezi wa nne mwaka huu
Nimefika mkuuNina bati 22 za Alaf. Zimebaki baada ya fundi kunikadiria makadirio yasiyo na tija njoo pm tuyajenge.
Nilinunua kwa 610000 kwa bando mwezi wa nne mwaka huu
Tunaomba ABC za Dragon mkuu, kwa maana ya ubora wake, grade na beiKaribu dragon mabati Tanzania
Ndani ya miezi Sita yanaanza kuchuja rangiTunaomba ABC za Dragon mkuu, kwa maana ya ubora wake, grade na bei
Bila locationi ni KAZI BURE.Habari jf,
Sambamba na kichwa cha habari hapo juu , nina boma la chumba kimoja , nahitaji bati kumi ili niweze kuezeka , so yeyote mwenye bati kumi aniuzie kama zilibaki kwenye ujenzi au anazo tu kwa sababu anayoijua mwenyewe .
Natanguliza shukrani.
Dragon mabati tunapatikana mikoa ya dar,Mbeya,mwanza,tabora,makambako, Arusha na dodoma na tunafanyaj derivel mikoa yote hapa tz check me 0753535935/0785033500Tunaomba ABC za Dragon mkuu, kwa maana ya ubora wake, grade na bei
Sio kweli. Acheni uongo nimenunua Dragoni mwaka jana juni hadi leo mung'ao ni ule ule kama nimeezeka jana.Ndani ya miezi Sita yanaanza kuchuja rangi
Matokeo utayapata soon. Hakuna bati hapo.Sio kweli. Acheni uongo nimenunua Dragoni mwaka jana juni hadi leo mung'ao ni ule ule kama nimeezeka jana.
Njoo uchukue bure. Ziko hapa NanjilinjiHabari jf,
Sambamba na kichwa cha habari hapo juu , nina boma la chumba kimoja , nahitaji bati kumi ili niweze kuezeka , so yeyote mwenye bati kumi aniuzie kama zilibaki kwenye ujenzi au anazo tu kwa sababu anayoijua mwenyewe .
Natanguliza shukrani.
Si umesema miezi sita? Au nimekusoma vibaya?Matokeo utayapata soon. Hakuna bati hapo.
Ni suala la mda tu jiandae kisaikolojiaSi umesema miezi sita? Au nimekusoma vibaya?
Hehehe yaani nyie watu. We si umesema ni miezi sita tu? kumbe ulikuwa unaongopa?Ni suala la mda tu jiandae kisaikolojia