Buntungwa
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 549
- 307
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji kulipia bima ya haraka
Nikiwa na maana kwamba nalipia leo keshoo naanza kuitumia,ni bima gani nzuri
Namgonjwa amelanzwa muhimbili hana bima,anahitaji bima ya haraka ili audumiwe vizuri
Duuu nisaidieni tuu wakuu
Nikiwa na maana kwamba nalipia leo keshoo naanza kuitumia,ni bima gani nzuri
Namgonjwa amelanzwa muhimbili hana bima,anahitaji bima ya haraka ili audumiwe vizuri
Duuu nisaidieni tuu wakuu