Mkuu hive Bima ya NHIF ina ruhusu kupata vipimo vya MRI na CT SCANMkuu, bima inategemea na uwezo wako, zipo za aina mbalimbali. Jambo la msingi ni kuwa bima ina taratibu zake, mfano NHIF ukishalipia na kupata kadi unaweza kuanza kupata matibabu madogo madogo na vipimo vya magonjwa madogo madogo, ila kama utahitaji kutibiwa magonjwa makubwa mfano matatizo ya figo kushindwa kufanya kazi na kutakiwa kusafishwa damu kwa mashine, hapa ni lazima ulipie pesa hata kama una bima hadi utakapofikisha michango ya angalau mwaka mmoja.
Bima inaendeshwa kwa kuchangiana, wakati wewe una afya njema au umeugua malaria mara moja tu kwa mwaka, ujue pia mchango wako unamsaidia jamaa mwingine mwenye matatizo ya kiafya makubwa yanayotumia gharama kubwa sana, kwa hiyo ni vizuri uwe na bima ya afya mapema ukiwa na afya njema kabla ya kusubiri upate matatizo ndio uanze kufikiria kujiunga na bima.
Nafikiri utakuwa umenisoma Mkuu.
Ndio Mkuu, MRI na CT SCAN vipo katika vipimo vinavyotolewa na NHIFMkuu hive Bima ya NHIF ina ruhusu kupata vipimo vya MRI na CT SCAN
Mkuu wewe ni Jipu Bima haitolewi kwa Wagonjwa... Bima ni kwa ajili ya watu wasioumwa ili wakiumwa michango yao itumike... wewe huna tofauti na mwizi... Kamtibie na pesa zako mgonjwa Tambua pia ni kosa kutumia ujanja janja kisha kumkatia mgonjwa Bima akiwa hospitalini... Bima haitolipa gharama hizoWakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji kulipia bima ya haraka
Nikiwa na maana kwamba nalipia leo keshoo naanza kuitumia,ni bima gani nzuri
Namgonjwa amelanzwa muhimbili hana bima,anahitaji bima ya haraka ili audumiwe vizuri
Duuu nisaidieni tuu wakuu
Hiyo bima unalipia kiasi gani na kwamda gani mkuu fafanuaMkuu, bima inategemea na uwezo wako, zipo za aina mbalimbali. Jambo la msingi ni kuwa bima ina taratibu zake, mfano NHIF ukishalipia na kupata kadi unaweza kuanza kupata matibabu madogo madogo na vipimo vya magonjwa madogo madogo, ila kama utahitaji kutibiwa magonjwa makubwa mfano matatizo ya figo kushindwa kufanya kazi na kutakiwa kusafishwa damu kwa mashine, hapa ni lazima ulipie pesa hata kama una bima hadi utakapofikisha michango ya angalau mwaka mmoja.
Bima inaendeshwa kwa kuchangiana, wakati wewe una afya njema au umeugua malaria mara moja tu kwa mwaka, ujue pia mchango wako unamsaidia jamaa mwingine mwenye matatizo ya kiafya makubwa yanayotumia gharama kubwa sana, kwa hiyo ni vizuri uwe na bima ya afya mapema ukiwa na afya njema kabla ya kusubiri upate matatizo ndio uanze kufikiria kujiunga na bima.
Nafikiri utakuwa umenisoma Mkuu.
Asante mkuu kwa ushauri mzuriMOJA YA MASHARTI YA BIMA NI UCHANGIAJIWA MIEZI KADHAA SASA UCHANGIE 50000 LABDA THEN WANAJUA KESHO MRI O CT SCAN THEN U DIE WAPATE HASARA WE ;LIPIA TYU MATIBABU
Mkuu, bima inategemea na uwezo wako, zipo za aina mbalimbali. Jambo la msingi ni kuwa bima ina taratibu zake, mfano NHIF ukishalipia na kupata kadi unaweza kuanza kupata matibabu madogo madogo na vipimo vya magonjwa madogo madogo, ila kama utahitaji kutibiwa magonjwa makubwa mfano matatizo ya figo kushindwa kufanya kazi na kutakiwa kusafishwa damu kwa mashine, hapa ni lazima ulipie pesa hata kama una bima hadi utakapofikisha michango ya angalau mwaka mmoja.
Bima inaendeshwa kwa kuchangiana, wakati wewe una afya njema au umeugua malaria mara moja tu kwa mwaka, ujue pia mchango wako unamsaidia jamaa mwingine mwenye matatizo ya kiafya makubwa yanayotumia gharama kubwa sana, kwa hiyo ni vizuri uwe na bima ya afya mapema ukiwa na afya njema kabla ya kusubiri upate matatizo ndio uanze kufikiria kujiunga na bima.
Nafikiri utakuwa umenisoma Mkuu.