R RUSESABAGINA Member Joined Oct 12, 2010 Posts 19 Reaction score 0 Dec 3, 2010 #1 Mwenye blackberry bold 9700 mpya bei TZS 500,000 ani pm.Nipo Dar es salaam
Watu JF-Expert Member Joined May 12, 2008 Posts 3,231 Reaction score 1,471 Dec 3, 2010 #2 RUSESABAGINA said: Mwenye blackberry bold 9700 mpya bei TZS 500,000 ani pm.Nipo Dar es salaam Click to expand... BlackBerry Bold II 9700
RUSESABAGINA said: Mwenye blackberry bold 9700 mpya bei TZS 500,000 ani pm.Nipo Dar es salaam Click to expand... BlackBerry Bold II 9700
Brooklyn JF-Expert Member Joined Mar 17, 2009 Posts 1,459 Reaction score 286 Dec 3, 2010 #3 Du mkuu nahisi kama bei yako ni ndogo kidogo kwa aina ya simu unayohitaji!!
P pacificamarine Member Joined Dec 1, 2010 Posts 68 Reaction score 4 Dec 3, 2010 #4 Simu hiyo kwa Tshs 500,00.00 haiwezekani. Tunaweza kukutafutia hapa US au UK kwa US$ 550.00 shipping to Dar included kama hii hapa:- NEW UNLOCKED Blackberry Bold 9700 2 WiFi AT&T PDA GSM. Tuandikie: pacificamarine@yahoo.com tuzungumze namna ya kuipata.
Simu hiyo kwa Tshs 500,00.00 haiwezekani. Tunaweza kukutafutia hapa US au UK kwa US$ 550.00 shipping to Dar included kama hii hapa:- NEW UNLOCKED Blackberry Bold 9700 2 WiFi AT&T PDA GSM. Tuandikie: pacificamarine@yahoo.com tuzungumze namna ya kuipata.
R RUSESABAGINA Member Joined Oct 12, 2010 Posts 19 Reaction score 0 Dec 3, 2010 Thread starter #5 Tayari nimeipata kwa mdau wa JF and the deal is closed.Thanx JF
Vitendo JF-Expert Member Joined Oct 23, 2009 Posts 582 Reaction score 103 Dec 4, 2010 #6 RUSESABAGINA said: Tayari nimeipata kwa mdau wa JF and the deal is closed.Thanx JF Click to expand... Hata kama umeipata ila bei sio hiyo Tshs 500,000/=
RUSESABAGINA said: Tayari nimeipata kwa mdau wa JF and the deal is closed.Thanx JF Click to expand... Hata kama umeipata ila bei sio hiyo Tshs 500,000/=
Shaycas JF-Expert Member Joined Feb 13, 2009 Posts 906 Reaction score 112 Dec 4, 2010 #7 Nami nahitaji Nokia N8 Kwa Tsh 550,000/=. mwenye nayo naomba tuwasiliane.
Chelenje JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 552 Reaction score 23 Dec 4, 2010 #8 Jamani mwenye iphone 4 please tuwasiliane !
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 Dec 4, 2010 #9 Hizo zote mnazozitaka zinapatikana sapna huu siyo wakati wakununua simu mkononi jama!unataka status kwa vishoka??wa samora wewe unayeta bbry bold ni pm kwa kunipa no yako.
Hizo zote mnazozitaka zinapatikana sapna huu siyo wakati wakununua simu mkononi jama!unataka status kwa vishoka??wa samora wewe unayeta bbry bold ni pm kwa kunipa no yako.
Vitendo JF-Expert Member Joined Oct 23, 2009 Posts 582 Reaction score 103 Dec 4, 2010 #10 Shaycas said: Nami nahitaji Nokia N8 Kwa Tsh 550,000/=. mwenye nayo naomba tuwasiliane. Click to expand... Tshs 900,000/= nitakuuzia.
Shaycas said: Nami nahitaji Nokia N8 Kwa Tsh 550,000/=. mwenye nayo naomba tuwasiliane. Click to expand... Tshs 900,000/= nitakuuzia.
P pacificamarine Member Joined Dec 1, 2010 Posts 68 Reaction score 4 Dec 5, 2010 #11 sisi Pacifica tunaweza kukuuzia original phone kama hii hapa kwa $ 620.00, Made in Finland. Nokia N8 Unlocked GSM Touchscreen,GPS & 12MP camera NEW
sisi Pacifica tunaweza kukuuzia original phone kama hii hapa kwa $ 620.00, Made in Finland. Nokia N8 Unlocked GSM Touchscreen,GPS & 12MP camera NEW