Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

duh! hii fursa i wish i could b......
 
Bi. Khadija anaakisi tatizo kubwa la wanawake. Wanawake wanataka mtu asiye na doa. Hawajui kuwa kila mtu ukipata faili lake hatakosa madoa.

Ndo maana Eva (Hawa) aligegedwa kwanza na Mngoni anayeitwa Nyoka kabla ya mumewe Adam.
Mkali Wao,
Daaa! Wewe zaidi ulijua hata Hawa alivyochepuka?
Hiyo yote Tisa nimewaambia wanawake, Mungu humps mtu anachostahili Bali sio anachokitaka yeye!
Akikupa unachokitaka wewe utasumbua au kusimanga watu!
 
Dada tulizo la moyo umelipata 0717391502 Ni beep tu
 
Mimi hapa Niana umri miaka 28 nina sifa karibia 90%. nipo dar .nina dse .Iam interested with your
 
twentieth, umemaliza chuo.......rafiki yako alikudalalia!!! then unakuja na choice kama unachambua bange....ngoja ulipulize....round ya pili wala huchambui...
 
Unaonekana una tamaa sana , maana hiyo list ya watu umeorodhesha nina hakika wote wakikutokea utawakubalia, sasa hapo unakuwa ni kama (yamala) tu , huyo BF unaye mtaka ambaye ataweza kuwa na tabia za watu wote hao huwezi mpata hata dunia ikaanza moja,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…