Nahitaji Business Partiner kuwekeza 15m ktk Biashara hai na endelevu.

Itumbili

Senior Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
118
Reaction score
45
Nakaribisha yeyote mwenye nia na uwezo wa kuwekeza Tshs 15m katika biashara hai, halali na endelevu. Ni biashara iliyo na mkataba wa miezi 12, inazalisha faida ghafi ya tshs 8.4m kwa mwezi, ama 100.8m kwa mwaka. Imesajiriwa TRA, OSHA, Wizara ya kazi na ajira. Mwenye nia anakaribishwa sana, apitie hati zote stahiki na kujiridhisha, kwa kuwasiliana nami kabla ya Ijumaa tarehe 7th November 2014, kwa e-mail ifuatayo;- excelsiorservicesltd@gmail.com

KARIBUNI>
 
Labda kama utakubali niweke watu wa monitoring
 
Hahahaha,jamaa hapo juu karipuka moja kwa moja acha utapeli.
kazi kweli.

Hivi wewe hiyo 15m unaona ndio pesa hasaa ya kuja na mbwembwe zote hizo.
Eti uzalishe 8.4m kwa mwezi au 100m kwa mwaka kwa investement share ya 15m.
Kuna raia wengi usajili wa Mirembe Hospital tumeukimbia.
Nigerians Bongos at work
 
Kwa wale wanaohitaji QUICKBOOKS PRO 2014 (U.S.A) inapatikana sasa kwa laki moja na ishirini tu (120,000 TZS). Kwa walio nje ya Dar es Salaam tunawatumia kwa gharama zetu. Hii ni quickbooks original utapewa CD ikiwa na keys zake. Wasiliana na huyu kwa taarifa zaidi: tonyhaule@hotmail.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…