rioson
New Member
- Apr 29, 2022
- 3
- 3
NAHITAJI BUSINESS PARTINER
Hallow habari wana JamiiForums
Naitwa Mr Ryoba Wantora, mjasiliamali na mmliki wa kampuni ya Rioson Wood Products iliopo Iringa, inayohusika na uzalishaji na usambazaji wa MBAO na MILUNDA mikoani hapa Tanzania.
Kampuni hii ni ya kwamgu binafsi. na Tunamshukuru Mungu kwa sasa inajulika sehemu mbalbali kupitia matangazo yetu. na kuna baadhi ya makampuni yametiamini kufanya noa kazi kama vile:-
- Tanzania Building Agency (TBA)
- Suma JKT
- Natinal Housing (NHC)
- China Railway Engineering and Construction (CRJE)
- Pamoja na wauzaji wa Mbao binafsi mikoani (Dodoma, Tanga, Dar, Morogoro, Mwanza, Arusha n. k.)
MALENGO YETU
1. Kua best seller wa Wood material (Timber, poles, na round wood/milunda ndani na nje ya Tanzania. kwani uhitaji hada soko la nje ni mkubwa (Nairobi, Zambia, Congo, Sudani n.k)
2. Kufungua Timber mikoani.
3. Kuwekeza katika mashamba ya miti. (1000 ekaries)
MAFANIKIO YETU MPAKA SASA
1. Tumefanikiwa kumuliki na kupanda mti ekari 70.
2. Kufungua branch (Iringa mjini na Dodoma)
3. Kupata tenda ya kusupply Mbao katika miladi ya ujenzi ya selikali.
4. Kujitangaza na kujulikana sehemu mbalimbali.
5. Pia tunamashine za kuzalishia mbao tatu.
NIA YANGU
Lengo na nia yangu nahitaji business partner alie seriously. Ambae atakua tiali kuwekeza rasilimali Fedha, akili na mda wake. pia awe ni mwenye nia ya dhati ya kuwekeza, mwenye mtazamo na malengo ya mda mrefu.