Nahitaji Chambua Chambua kwenye maharage (viua gugu kwenye maharage)

Nahitaji Chambua Chambua kwenye maharage (viua gugu kwenye maharage)

wakusoma21

Member
Joined
Nov 16, 2019
Posts
29
Reaction score
78
Habari ya Kazi, poleni na harakati za kila siku. Nimekuja mbele yenu ili mnijuze kiuagugu ambacho ni Bora kwenye maharage. Yaaan namaanisha Chenye ufanisi mkubwa kuua magugu na nyasi na kuacha maharage. Nikipata jina la hiyo kiuagugu kama ni la biashara (trade name) au la kisayansi (generic name) pia ikiwezekana Kwa picha ya hicho kiua gugu. Mungu awabariki sana
 
Asante kwa Bandiko Mkuu.

WAKUU WANAKUJA KUKUPA MIONGOZO, TULIA HAPOHAPO (USIONDOKE).

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Habari ya Kazi, poleni na harakati za kila siku. Nimekuja mbele yenu ili mnijuze kiuagugu ambacho ni Bora kwenye maharage. Yaaan namaanisha Chenye ufanisi mkubwa kuua magugu na nyasi na kuacha maharage. Nikipata jina la hiyo kiuagugu kama ni la biashara (trade name) au la kisayansi (generic name) pia ikiwezekana Kwa picha ya hicho kiua gugu. Mungu awabariki sana
Tumia moja kati ya hizi

Bontazone400g/l au 155g/l magugu yakishaota
Metolachlor 900g/l kabla magugu kuota
Glyphosate 480g/l


Zinatosha izo
 
Back
Top Bottom