Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Kwa Dr Mwaka.Habari ndugu wana Jf!
Naomba kufahamishwa wapi nitapata cheti cha COVID-19 kwa haraka , nipo Dar es salaam.
Asanteni.
Habari ndugu wana Jf!
Naomba kufahamishwa wapi nitapata cheti cha COVID-19 kwa haraka , nipo Dar es salaam.
Asanteni.
Gerezani Dar es Salaam, na fremu wanakuwekea.Habari ndugu wana Jf!
Naomba kufahamishwa wapi nitapata cheti cha COVID-19 kwa haraka , nipo Dar es salaam.
Asanteni.
Nahitaji zote.Softcopy au hardcopy?
Cha harusi kanisani wanakitaka.Cha nini?
Gerezani sehemu gani?Gerezani Dar es Salaam, na fremu wanakuwekea.
Mabibo karibu na?Nenda kule mabibo utapata sipajui jina
Cha harusi kanisani wanakitaka.
Cha harusi kanisani wanakitaka.
iCha harusi kanisani wanakitaka.
Ukiulizia utaoneshwa, hata Phd zinachapwa hapo.Gerezani sehemu gani?
Ofisi ipo karibu na ?
Hizo zote ni #10, nyingine umesoma wapi?😳😳😳😳ID ngapi
i
Acha magumashi wewe, cheti utakupataje bila kuchanja?Habari ndugu wana Jf!
Naomba kufahamishwa wapi nitapata cheti cha COVID-19 kwa haraka , nipo Dar es salaam.
Asanteni.