MALISA92
Senior Member
- Aug 29, 2013
- 148
- 57
Habarini za saa hii wakuu..nina uhitaji wa chumba kimoja na seble.
Ningependa kiwe maeneo ya kuanzia kimara Kona hadi kimara mwisho. Au pia maeneo ya bara bara ya kwenda kwa mzee wa Upako kutokea Ubungo riverside. Tuwasiliane kwa number hizi kama kuna mwenye nacho 0658 020361
Ningependa kiwe maeneo ya kuanzia kimara Kona hadi kimara mwisho. Au pia maeneo ya bara bara ya kwenda kwa mzee wa Upako kutokea Ubungo riverside. Tuwasiliane kwa number hizi kama kuna mwenye nacho 0658 020361