NAHITAJI CHUMBA

mr chakubanga

Senior Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
124
Reaction score
260
habari wanabodi napenda kukaribisha madalali na wamiliki wa vyumba na wengineo wote ili nipate chumba , eneo ninalotaka
mikocheni, oysterbay au kinondoni ili niwe karibu na eneo la kazi , chumba kimoja self kikijitegemea itapendeza zaidi bajeti 150-200k karibuni
 
kuna chumba maeneo ya kitunda-machimbo sifa ni chumba sebule na choo ndani ila maji una chota nje/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…