Usitupotezee mda.
Sisi tunajadili muktabali wa nchi na sio huu upuuzi.
Jamani madada zetu wanarukishwa ukuta na waarabu dubai -aibuu
Kakajammbazi akasema -."Wadada wengi hawajaichangia hii topic,sijui ni victimu.Wanaochangia wameishia kusema ,,sio wote."
Je Password au Movie Magic au Dubai ni sehemu ya mustakabali wa nchi kwako????? . hahahhahaha.Password ya mume mkora/mkware
Kakajambazi akasema- "Uwe unaangalia movie za Magic Africa".
kwa hiyo kama ni safi naweza kuivaa siku tatu au nne mfululizo?
Hii ya leo kali haya mie ninazo dazani 12.
Hii ya leo kali haya mie ninazo dazani 12.
Usitupotezee mda.
Sisi tunajadili muktabali wa nchi na sio huu upuuzi.
Ili kutunza usafi unahitaji kuwa na CHUPI MBILI - unafua moja kila asuhubi unapooga then unavaa nyingine amboyo uliifua jana yake. Chupi nyingi ni gharama zisizo na msingi likewise Soksi. :smile-big::smile-big:
Safarini nakushauri tumia feni kukaushia chupi yako kama kuna mawingu ili siku inayofuata usihangaike. Jifunze kubana matumizi yasiyo ya lazima.
Usitupotezee mda.
Sisi tunajadili muktabali wa nchi na sio huu upuuzi.