Nahitaji chupi ngapi?


kaka kwa kweli umenifurahisha sana ila ulichoongea ni 90% ni sahihi kwa mtazamo wangu

3D said:
Tufunge mjadala. Vaa chupi safi. Use commonsense, chupi moja yaweza kutosha au mbili au tatu. VAA CHUPI SAFI. MWISHO.
Mhhh ungekuwa wewe owner au Mod wa jamii forum basi. nadhani maoni mengi ya watu yasingepewa uhuru. Sio vizuri kupenda kupdress mawazo ya watu. Acha Thread ife naturally.
 
Vaa chupi safi kila siku, ili usijeaibika siku ukipata ajali...
 

elnino wewe kiboko! Huo uchumi ulisomea wapi bro na mimi dada yako nikasomee..
 


hahahahahaha Elnino nibakizie mbavu zangu kama hakuna feni unafanyaje?
 
kuwa nazo kadri unavyojisikia wewe ..unaweza kwenda shopping ukavutiwa ukanunua nyingi zaidi ila me sijui baada ya muda gani inabidi iwe disposed:smile-big:
 
Vaa chupi safi kila siku, ili usijeaibika siku ukipata ajali...
Hahahaha mzee kazi unazofanya zinahusiana na mambo ya bima nini?

Firstlady said:
hahahahahaha Elnino nibakizie mbavu zangu kama hakuna feni unafanyaje?
Hii Advice ya Elinino ni kali ya mwaka ila ina ukweli
 

wakati bob marley anahangaika kutoka kimuziki pamoja na rita marley,rita marley katika kitabu chake ameandika kuwa kuna kipindi maisha yalikamata mpaka anakumbuka bob alikuwa ana chupi moja tu ukifika usiku anaifua kwa ajili ya matumizi ya siku inayofuata....sasa nadhani la msingi si wingi wa chupi bali usafi wa chupi!
 
ww mTAZAMAJI chupi ya nini? sijakuelewa tu ww ni demu au meni? km demu una lengo lako la kupigwa bao la CHAPU CHAPU.
 
ww mTAZAMAJI chupi ya nini? sijakuelewa tu ww ni demu au meni? km demu una lengo lako la kupigwa bao la CHAPU CHAPU.

Hivi unajua Bila mabao na wewe usingekuwa duniani. labda tuhakikishie wewe Mpasuajipu ulizaliwa kutokana na test tube yaani ni wale watoto wanazalishwa labaratory huko marekani.

Unashangaa neno chupi? Huwezi kunielewa kama wewe mwenyewe huelewi vitu vidogo vidogo. na hii ni characteristics ya test tube creation.
Kwa hiyo kabla ya kunielewa hakikisha umejilewa wewe kwanza.
 
Inawezekana mwanaume kutokuvaa chupi. Mimi nakumbuka chupi ya kwanza nilivaa nilipokuwa naenda sekondari ya boarding kuanza kidato cha kwanza nikiwa na umri wa miaka 16. Lakini mie ni wa mwaka 47, kwa hiyo wala siyo ajabu kwa enzi hizo. Siku hizi watoto wanazoeshwa chupi tangu wadogo. Hata mtoto wa miaka 5 ana jozi kadhaa za chupi. Kwa mtoto aliyejaliwa malezi hayo hadi ujana, sitegemei aulize ushauri kuhusu idadi ya chupi anazohitaji, hiyo angekuwa ameshazoea tu kutokana na malezi.
 
Jitahidi kuwa msafi muda wote, haijalishi unachupi ngapi. kuwa na idadi kubwa ya chupi sio kigezo cha kuwa msafi. Unaweza kuwa na chupi idadi yeyote ile uitakayo ila zingatia usafi wa mwili wako. Jaribu kujibu hili swali "Kwanini uvae chupi?" baada ya hapo ndipo utajua uwe na chupi ngapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…