Habari wakuu, nahitaji mtu anaelima au anayenunua kitunguu swaumu hii nikwaajili ya ushauri na kujifunza Zaidi Kuhusu kilimo hichi, nipigie au nitext hapa 0613389628 au Ni dm, nitakushukuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.