Bila kueleza sababu za
kuhitaji hiyo connection nadhani inaweza kuwa ngumu! Ingekuwa tunatumia
real ID ningekushauri ujieleze japo wewe ni nani, unafanya nini na
kwanini unataka connection na mtu wa pande hizo. Vinginevyo watu
watakuwa waoga wa kukuunganisha kwa kujiuliza hivyo na mwisho wasiku
utashindwa kufanikiwa lengo lako. Ni ushauri tu si lazima
kuuzingatia.