teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 137
hapa inategemea hardware ya modem yenyewe, sio modem zote unaweza kupiga na kupokea kupitia dashboardkupiga na kupokea kupitia hiyo dashboard
zte k3772 z hii ni ya vodacomNa model ya modem pia ni muhimu.
Join airzte k3772 z hii ni ya vodacom
Nimeintall lakin kila niki i launch haikubali ku initialize. inakwenda mwisho inaondoka yenyewe tuJoin air
3connect
ANZA na join air ndio maarufu.
Jaribu kurun kama admin, ama kurun kwa compability mode ya win 7.Nimeintall lakin kila niki i launch haikubali ku initialize. inakwenda mwisho inaondoka yenyewe tu
Habari Chief, nina modem Huawei E303h-1 ya Airtel ambayo wakati nilipokua na update firmware computer ilizima na baada ya hapo haipigi kazi tena. Nikiiweka kwenye computer inakua hivi:Jaribu kurun kama admin, ama kurun kwa compability mode ya win 7.
Labda ujaribu kwa mafundi wanaoflash simu kama kuna box linaloweza kufufua.Habari Chief, nina modem Huawei E303h-1 ya Airtel ambayo wakati nilipokua na update firmware computer ilizima na baada ya hapo haipigi kazi tena. Nikiiweka kwenye computer inakua hivi:
View attachment 1677117
View attachment 1677118
View attachment 1677130
Na kila nikijaribu ku update firmware tena, inakua hivi:
View attachment 1677120
Na hapa wala haionekani na wala hai install dashboard yake kwenye computer:
View attachment 1677121
Je, hapo kuna namna ya ku solve hilo tatizo au ndo imekufa mazima?