Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
weka bangi
weka bangi
mkuu unaweka majani yake au unaiwekaje???
Unavuta afu unatolea moshi masikioni!(Joke)
Majani ya bhange mbichi unayasigina then unakamulia maji yake kwenye sikio. Pia mafuta ya kuku wa kienyeji unayachemsha kisha unayasubiria yapoe, yakishapoa unachovya pamba kwenye hayo mafuta then unaweka kwenye sikio linalouma!
Kila la kheri mkuu.
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
Bangi ndo dawa usipuuzie
sasa mkuu majani ya bangi mabichi hapa nitapata wapi?
Looh! Hapa wap? Muulize mr.Mello au Mr.Mushi.....si ndio wenyeji wa hapa JF? Mimi na wewe na wengineo ni waalikwa tu!
By the way umekuwa interested na hiyo Bhange zaidi hadi unaiulizia hvyo! Au kuna message unataka kui-deliver indirectly? Kama ulipo hakuna Bhange tumia mafuta ya kuku wa kienyeji! Kama na hao hawapatikani basi utakuwa hutaki kupona wewe!
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums