mkuu,hair remover almost zote sio nzuri! Bora wembe mkuu! Kuna njia nyingine ambayo its more natural ya asali! Cjui kama utaprefer hiyo mkuu! Ni kwamba unapaka,lets say miguuni,then unachukua kitambaa kisafi unaweka juu ya eneo husika unaacha kama dkk 15alafu unabandua tartiiib,kaka results utaziona! Nywele haioti yani..! Bytheway, hiyo ni genetics!
unapaka nini?
unapaka nini?
asante wng,bt umesema ipi kati yaizi:easy wax,hair removal,vett au iyocream?nisaidie jinakamili.bt iyo vett nilinunua ikanishinda au nilikosea matumizi,nisaidie plz.