Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,928
- 2,867
Habari wakuu, Nina vacant position za madereva wa Pulling na Semi-Trailer.
Gari zinafanya local trips na base ya kampuni ni Dar es salaam.
Kama wewe ni dereva au unamfahamu dereva mzuri, please ni PM CV yake na number yake ya simu.
Kigezo kingine cha kupewa kazi ni kuwa na mdhamini anayeeleweka, au mwajiriwa wa serikali.
Asante.
Gari zinafanya local trips na base ya kampuni ni Dar es salaam.
Kama wewe ni dereva au unamfahamu dereva mzuri, please ni PM CV yake na number yake ya simu.
Kigezo kingine cha kupewa kazi ni kuwa na mdhamini anayeeleweka, au mwajiriwa wa serikali.
Asante.