Nahitaji Dereva wa Pulling na Semi-trailer

Nahitaji Dereva wa Pulling na Semi-trailer

Kamanda Moshi

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
1,928
Reaction score
2,867
Habari wakuu, Nina vacant position za madereva wa Pulling na Semi-Trailer.
Gari zinafanya local trips na base ya kampuni ni Dar es salaam.

Kama wewe ni dereva au unamfahamu dereva mzuri, please ni PM CV yake na number yake ya simu.
Kigezo kingine cha kupewa kazi ni kuwa na mdhamini anayeeleweka, au mwajiriwa wa serikali.
Asante.
 
Habari wakuu, Nina vacant position za madereva wa Pulling na Semi-Trailer.
Gari zinafanya local trips na base ya kampuni ni Dar es salaam.

Kama wewe ni dereva au unamfahamu dereva mzuri, please ni PM CV yake na number yake ya simu.
Kigezo kingine cha kupewa kazi ni kuwa na mdhamini anayeeleweka, au mwajiriwa wa serikali.
Asante.
Kuna dalili ya utapeli
 
Hii kampuni ipo wapi mkuu nilete maombi ...namba yangu ni 0687354161
 
Back
Top Bottom