Josephat_657
Member
- Apr 25, 2021
- 9
- 10
Graphic and codeKupiga au kuunda!??
Habar
Naitaji developer anayeweza kutengeneza e-commerce na app.
Kuna project nataka tupige . Kama uko tayar ntumie namba yako ya whatsapp
Toa namba utajuzwa zaidKuwa specific developer atakuwa co-founder au mwajiriwa
Toa namba utajuzwa zaid
Iko open mzee ... Si mlazimishi mtu kwa sababu si kaz ya bure. Na si itaji mtu yoyote tu lazima nione kaz zako piaKwa sasa mm hapana mkuu
We binadamu nakutaka zamia pm fasta sana, fanya Kama unaogelea hiviJapo ujasema quality za developer unaemtaka kwa experience yangu kwenye ecommerce ipo ivi lazima ajue ku code na kutengeneza rest api hii itasidia kwenye development ya app hautatumia nguvu njingi ku filter data kwenye website na ku ziweka kwenye app. Pia atakusaidia kufanya integration ya system za payment kama mpesa na mambo ya kadi pia mifumo ya currency exchange unakuta user anataka bei bidhaa ziwe kwenye usd au ils. Pia ajue kutumia git na github. Pai ajue moja kati ya AWS an Azure ya microsoft. Kati ya changamoto ya ecommerce in security fanya ufanyavyo website iwe coded juju ya framework (recommended Django, ruby on rails) backend alafu atapendeza kama front end mtatumia js framework kama react au vue
Lkn ku code ecommerce inabidi uwe na moyo wa uvumilivu aise , sometime una fikiri hadi kichwa unahisi kinapasuka
Hivi mtu wa design hii inapatikana kiurahisi? Kama yupo kuna jamaa wana mtafuta kwa udi na ubaniJapo ujasema quality za developer unaemtaka kwa experience yangu kwenye ecommerce ipo ivi lazima ajue ku code na kutengeneza rest api hii itasidia kwenye development ya app hautatumia nguvu njingi ku filter data kwenye website na ku ziweka kwenye app. Pia atakusaidia kufanya integration ya system za payment kama mpesa na mambo ya kadi pia mifumo ya currency exchange unakuta user anataka bei bidhaa ziwe kwenye usd au ils. Pia ajue kutumia git na github. Pai ajue moja kati ya AWS an Azure ya microsoft. Kati ya changamoto ya ecommerce in security fanya ufanyavyo website iwe coded juju ya framework (recommended Django, ruby on rails) backend alafu atapendeza kama front end mtatumia js framework kama react au vue
Lkn ku code ecommerce inabidi uwe na moyo wa uvumilivu aise , sometime una fikiri hadi kichwa unahisi kinapasuka
Marked mkuuWe binadamu nakutaka zamia pm fasta sana, fanya Kama unaogelea hivi
Tupo tumejaa hata hapa jf wapo wengi tu, shida nikwamba wengi wetu tupo tayari tunafanya kazi. Labda option zilizopo ni weekends and kufanya remotelyHivi mtu wa design hii inapatikana kiurahisi? Kama yupo kuna jamaa wana mtafuta kwa udi na ubani
If course haitegemewi uwe freelance! Toa email yakoTupo tumejaa hata hapa jf wapo wengi tu, shida nikwamba wengi wetu tupo tayari tunafanya kazi. Labda option zilizopo ni weekends and kufanya remotely
Pm yako umefunga mkuuIf course haitegemewi uwe freelance! Toa email yako
Inaonesha Bimkubwa ndiye kafunga kwa wivu akidhani akina mahondaw watanitafuta huko. Nipe namba yako ya simuPm yako umefunga mkuu
Mkuu nikiiweka hapa itakua changamoto. korteyokni@biyac.com iyo ni tempo email. Ukinitinia contact zako hapo itakua vizuri nitakutafutaInaonesha Bimkubwa ndiye kafunga kwa wivu akidhani akina mahondaw watanitafuta huko. Nipe namba yako ya simu
Safi sana! Ila mbona unajificha sana, una madeni? JokeMkuu nikiiweka hapa itakua changamoto. korteyokni@biyac.com iyo ni tempo email. Ukinitinia contact zako hapo itakua vizuri nitakutafuta