stoneblock
Senior Member
- Feb 28, 2023
- 126
- 371
kama heading inavyojielezea ninahitaji fridge la bei rahisi kwaajili ya dukani iwe ya kampuni yoyote na iwe mikoa ya Dar Kilimanjaro na Arusha mahali ambapo nafanyia biashara ni Njiapanda ya Himo kwahiyo iwe seh yeyote ambayo fridge itafika kwa urahisi
0682770944
0682770944