Kuna Funza na kuna minyoo, funza kuwatengeneza ni rahisi hasa kama una fuga na Ng'ombe pia, cha kufanya chukia kinyesi cha Ng'ombe kirundike mahali halafu mwagia maji kwa wingi halafu funika na karatasi ya anylon na endelea kumwagia maji kwa siki mara mbil, siku ya tatu au nne utakutana na funza wa kutosha chukua lisha kuku. Kuhusu Minyoo mtafute jamaa anaitwa Chasha Poultry Farm anayo