Newcastle1234
Member
- Oct 29, 2022
- 67
- 147
Wewe ni tajiri au mtu wa kati ?Liwe sio mbali na Bagamoyo mjini kwasababu litajengwa hospital. Lenye hati litapewa kipaumbele
Na wewe una hekari 20 bagamoyo mjini au dalali tu?Wewe ni tajiri au mtu wa kati ?
Kuna uncle wangu ana heka 23, na kuna kipindi alitaka kuwauzia kanisa la Roman lakini ikawa ni mlolongo mrefu. Ndio maana nimekuuliza Wewe ndio unayetaka au ni mtu wa kati ?Na wewe una hekari 20 bagamoyo mjini au dalali tu?
Kaka yanguKuna uncle wangu ana heka 23, na kuna kipindi alitaka kuwauzia kanisa la Roman lakini ikawa ni mlolongo mrefu. Ndio maana nimekuuliza Wewe ndio unayetaka au ni mtu wa kati ?