Acha wauliwe shenzi type....Amefata maokoto pasipo kupendwa, kisa huyo mwanaume anafanya kazi serikalini na anapata semina zenye marupurupu Kila siku, ndo maana ana mng'ang'ania, si ajabu akiambiwa atoe ata mkundu atatoa na ataliwa, ila Bado atafukuzwa ka mbwa maaaaamae zake.
Mpende akupendaye asie kupenda temana nae
Pole sana mkuu binadamu ndo walivyo jitahidi kujipenda mwenyewe kipindi hiki cha mpito, usimtafute kabisa hata kwa bahati mbaya kisicho riziki hakiliwi. Situation kama yako nimeipitia naelewa unavyojisikia, muombe Mungu sana upate amani ya moyo. Huyo bazazi ipo siku atakukumbuka ila atakuwa amechelewaNilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.
Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.
Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.
Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !
Hapa nilipo ninayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .
Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa kila ninapomdai anirudishie pesa nilizomkopea anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia yake kuhongwa na wanawake mtaani hasa manesi wa single mothers wanao jiweza wanalalamika kuwa anapenda kuhongwa (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka
NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
😔😔Kama una mali isiyohamishika naomba uniuzie mapema kwasababu kuna uwezekano wa jamaa kukatisha uhai wako. Yaani vita utavipiga ila mwendo utakatishwa ni upumbavu wako wa kupenda gaidi la mapenzi.
Asante mkuu ulifanyaje ukavuka ?Pole sana mkuu binadamu ndo walivyo jitahidi kujipenda mwenyewe kipindi hiki cha mpito, usimtafute kabisa hata kwa bahati mbaya kisicho riziki hakiliwi. Situation kama yako nimeipitia naelewa unavyojisikia, muombe Mungu sana upate amani ya moyo. Huyo bazazi ipo siku atakukumbuka ila atakuwa amechelewa
Kumbee !Hizo ni nyege tu mkuu. Tafuta mtu mmoja anae kufatilia mda mrefu, mpe nafasi akukaze kisawa sawa uone kama utaendelea kumfatilia huyo jamaa.
pole, tupe mrejesho, vipi uliweza kuachana naye? alikuomba msamaha?Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.
Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.
Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.
Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !
Hapa nilipo ninayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .
Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa kila ninapomdai anirudishie pesa nilizomkopea anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia yake kuhongwa na wanawake mtaani hasa manesi wa single mothers wanao jiweza wanalalamika kuwa anapenda kuhongwa (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka
NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
Anaomba msamahapole, tupe mrejesho, vipi uliweza kuachana naye? alikuomba msamaha?
Na wewe umeamua kumsamehe?Anaomba msamaha
Hapana siwezi kumsamehe hata kidogoNa wewe umeamua kumsamehe?
hata mimi nmeshawahi kukimbizwaNilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu.
Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa kikazi Dar ( mkoa anaofanya kazi) alinieleza kuwa nisifike kwake nifanye tu kazi iliyonileta.
Nililazimisha kwenda anapoishi alinipokea kishingo upande ila alinitukana sana na kutishia kuniletea polisi. Asubuhi nilienda kwenye majukumu yangu niliporudi kwake nikakuta amevusha mwanamke.
Majirani walinisikitikia sana wanasema kuwa hiyo ni tabia yake kubadilisha wanawake kila siku hasa bar maids! Nilipomkuta huyo mwanamke ndani nilijisikia vibaya nikatoa ya moyoni kwa huyo mchumba wangu na kuondoka Nimekubali tu yaishe nisije kupata maradhi kwa kung'ang'ania mwanaume mwenye wanawake wengi !
Hapa nilipo ninayo namaumivu yasiyo elezeka kwa sababu amenioneshea live huyo mwanamke! Majirani wananieleza afadhali hata umeona mwenyewe kuliko wangesema wao tabia yake ya kubadilisha wanawake hasa bar maids .
Huyu aliyekuwa mchumba wangu ni mfanyakazi wa serikali anaepata seminar mikoa mbalimbali ila kila siku ananiomba pesa kila ninapomdai anirudishie pesa nilizomkopea anazua ugomvi. Baadhi ya majirani wanasema ni tabia yake kuhongwa na wanawake mtaani hasa manesi wa single mothers wanao jiweza wanalalamika kuwa anapenda kuhongwa (anapenda mserereko) kweli nimeamini fimbo ya mbali haiui nyoka
NAHITAJI FARAJA YENU WAKUU KUACHANA NA MTU UNAYEMPENDA NI MSIBA MZITO
daah sasa manes wanashida gani. na wanavojua kusemwa sasaKwamba hasa manesi na Masingle maza duu!
kwanini usimsamehe?Hapana siwezi kumsamehe hata kidogo
Kosa la usaliti halina msamaha mkuukwanini usimsamehe?
pole aisee. kwahiyo ameshaoa au. kumbe alikusaliti kabisa na siyo kuhairisha ndoa?Kosa la usaliti halina msamaha mkuu