Nahitaji fundi wa uhakika. Pump ya Mitsubishi Rosa dizel manual ni Bei gani? Je Ni Bora kuliko za umeme. Nahitaji kubadili nahitaji kujua gharama

Nahitaji fundi wa uhakika. Pump ya Mitsubishi Rosa dizel manual ni Bei gani? Je Ni Bora kuliko za umeme. Nahitaji kubadili nahitaji kujua gharama

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Na gari ndogo ya abilia Aina ya Rosa. Inasumbua Sasa kuzima gafla. Fundi moja amesema pump za umeme zinasumbua anasema nibadili. Ila bajeti inakuja m4+. Sijaelewa.

Nahitaji fundi aliyoko Kanda ya ziwa nipate ushauri ili tuje tufanye biashara.

Gari Ni manual gia lakini pumb ya umeme nashauriwa tutoe pumb.

Gari inamiaka miwili tu na Haina Safari nyingi Ni ya kukodisha tu
 
Back
Top Bottom